Msaada wa kwenda JKT kwa mujibu wa sheria

Msaada wa kwenda JKT kwa mujibu wa sheria

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,136
Reaction score
96,161
Baba hana uwezo kabisa wa kumpeleka mtoto songea JKT. Hawezi kupata nauli ya kwenda huko na mahitaji mengine.

Anaamua kutokwenda.

1. Akiacha kuna tatizo lolote? sheria inasemaje?
2. Nimemshauri mtoto aende kambi iliyo karibu aripoti, inawezekana?
 
Baba hana uwezo kabisa wa kumpeleka mtoto songea JKT. Hawezi kupata nauli ya kwenda huko na mahitaji mengine.

Anaamua kutokwenda.

1. Akiacha kuna tatizo lolote? sheria inasemaje?
2. Nimemshauri mtoto aende kambi iliyo karibu aripoti, inawezekana?

Sio lazima aende kama hata nauli ni shida, abaki afanye shughuli zake za nyumbani.
 
Hakuna ulazima Wala. Usije ukauza shamba na mifugo ili mtu aende jkt.
 
Yote 1 na 2 yanawezekana.. Maamuzi ni yake tu... 🤗
 
Baba hana uwezo kabisa wa kumpeleka mtoto songea JKT. Hawezi kupata nauli ya kwenda huko na mahitaji mengine.

Anaamua kutokwenda.

1. Akiacha kuna tatizo lolote? sheria inasemaje?
2. Nimemshauri mtoto aende kambi iliyo karibu aripoti, inawezekana?
Swala la jeshi halina uhusiano na kupata au kukosa mkopo/chuo/kazi

Kama mtu yupo interested na mazingira yanaruhusu aende kama vinginevyo bora abaki home afanye mambo mengine
 
Swala la jeshi halina uhusiano na kupata au kukosa mkopo/chuo/kazi

Kama mtu yupo interested na mazingira yanaruhusu aende kama vinginevyo bora abaki home afanye mambo mengine
Noted!
 
Back
Top Bottom