Fund
Member
- Nov 29, 2011
- 27
- 3
Habari wan JF,miaka ya nyuma niliwahi kulala na binti mmoja ,na tulitumia kondom,ukitazam akwa muda ambao tulikutana nae kimwili ulikuwa mwezi wa pili,hapo hatukuonana tena,nikishangaa mwezi wa tano nikipigiwa cm nakuambiwa hazion siku zake,nikamuuliza tangu lini akasema tangu mwezi wa nne!nikashindwa kukpata jibu kipindi alicho niambia n amuda nilio lala nae?hadi wakati huu huu alisha jifungua na kuelikea mkoani kwao,sijabahatika kumwona huyo mtoto,lakini ana dai ni mtoto wangu ,naomba msada wa njia gani nitumie nikapime DNA?nawasilisha