Masterplan
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 209
- 348
Naomba kujua kama Kuna mtu ambaye anaweza kunisaidia niweze kupata maji ya hill litre moja maana kwa huku maeneo ya Mbezi mwisho yamekuwa adim Sana pia na Soda za Pepsi.
Kipindi cha nyuma hapa vilikuwa vinapatikana vyote hivyo ila kwa sasa vinapatikana kwa shida sana huku.
Nawasilisha.
Kipindi cha nyuma hapa vilikuwa vinapatikana vyote hivyo ila kwa sasa vinapatikana kwa shida sana huku.
Nawasilisha.