barbieloree
Member
- Jan 2, 2024
- 28
- 52
Wachora tatuu watakupatia mwongozo, ila Binadamu tuna utaahira sana kiukweli. Unajichoraje mwilini kama chatu ilihali uliumbwa na ngozi nzuri tu?Habari wana jamii forum samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini.ana tatoo ya jina mkononi anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma.na Pasi wanasema.makovu hawataki anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada.jamani nini afanye
KimemlambaAsahau.
Wapi uko.Kila unachokifanya katika maisha yako jua kinaweza kuwa na matokeo hasi au chanya na huna budi kukubaliana na matokeo hayo,but kachelewa sana
Kunadawa zinauzwa na wachina wanadai zinaondoa makovu,mwambie ajaribu,
AsanteWachora tatuu watakupatia mwongozo, ila Binadamu tuna utaahira sana kiukweli. Unajichoraje mwilini kama chatu ilihali uliumbwa na ngozi nzuri tu?
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Amebahatika au ana mpango wa kwenda.Habari wana jamii forum samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini.ana tatoo ya jina mkononi anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma.na Pasi wanasema.makovu hawataki anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada.jamani nini afanye
Sasa Yuko jeshini tayar kwahiyo huko aliingiajeHabari wana jamii forum samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini.ana tatoo ya jina mkononi anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma.na Pasi wanasema.makovu hawataki anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada.jamani nini afanye
Naomba nitembezee na mm huo muhadarati unaotumiagaAendelee kulia tu labda itafutika.....
Nenda insta, account ya bwana ake Amber Rutty, anafuta tattoos na chale, wengi wamefanikiwa, nikiwepo mimi.Habari wana jamii forum samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini.ana tatoo ya jina mkononi anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma.na Pasi wanasema.makovu hawataki anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada.jamani nini afanye