Valence Cheti
Member
- Aug 7, 2018
- 5
- 3
Habari wanajamii forums
Naomba ushauri wenu kwa wanaojua Sana au kidogo juu ya hiki ilimradi nipate dondoo ata kidogo tuu ni hivi nimemaliza chuo mwaka jana nilisomea course ya education(ualimu) Sasa Kama mnavyojua ajira ni ngumu wandugu na mtaani ni kugumu usiambiwe. Sasa katika pita pita za apa na pale za kutafta kazi nikaingia reception ya kiwanda kimoja ivi kinajihusisha na utengenezaji wa sigara.
Nikaeleza shida angu pale wakanipa email nitumie maombi ya kazi Sasa changamoto yangu sijui ndani ya hiki kiwandani Cha sigara Kuna shughuli zipi na vitengo vipi ambavyo Mimi Kama mhitimu wa course ya ualimu naweza nikaimood so kwa mwenye dondoo kidogoo tuu tusaidiane ndugu.
Nawezaje nikatumia hii fursa Nani kupata chcht maana life is so harder.
Karibuni kwa mawazo yenu wanajamii
Naomba ushauri wenu kwa wanaojua Sana au kidogo juu ya hiki ilimradi nipate dondoo ata kidogo tuu ni hivi nimemaliza chuo mwaka jana nilisomea course ya education(ualimu) Sasa Kama mnavyojua ajira ni ngumu wandugu na mtaani ni kugumu usiambiwe. Sasa katika pita pita za apa na pale za kutafta kazi nikaingia reception ya kiwanda kimoja ivi kinajihusisha na utengenezaji wa sigara.
Nikaeleza shida angu pale wakanipa email nitumie maombi ya kazi Sasa changamoto yangu sijui ndani ya hiki kiwandani Cha sigara Kuna shughuli zipi na vitengo vipi ambavyo Mimi Kama mhitimu wa course ya ualimu naweza nikaimood so kwa mwenye dondoo kidogoo tuu tusaidiane ndugu.
Nawezaje nikatumia hii fursa Nani kupata chcht maana life is so harder.
Karibuni kwa mawazo yenu wanajamii