Wakati.wa.uchumba hatukushiriki tendo jilo!
dah! kumbe wewe mke mwema kabisa sasa unataka uvurunde. acha kabisa michepuko sio dili.
Wakati.wa.uchumba hatukushiriki tendo jilo!
Wakati.wa.uchumba hatukushiriki tendo jilo!
Mpikie mumeo supu ya uyoga...supu ya pweza..juice ya ubuyu...juice ya komamanga cc Evelyn Salt..
Inawezekana wewe ni au sehemu ya tatizo. Kama hauko "active" kama hauko "hot" jama wewe sio "mchokozi"... kwa baadhi ya wanaume inakuwa shida kweli...
Hebu kuwa "mhuni" unapokuwa chumbani... hakikisha hamlali na mtoto mdogo kitandani. Kama yupo mtafutieni chumba chake... au mumeo awe na chumba chake mtoto akishalala unaenda chumbani kwa mumeo kumchokoza... mcheze, mtaniane, ufanye vituko vya kila aina... mumeo atakuwa active tena.. na utaanza kuenjoy tundi...
ukweli humuweka mtu huru daaa pole sana hizi ndio athari za kupishana miaka mingi ktk ndoa... ajabu mtu uko 20's saiv una date na mtu anaapproach 40 ni shida