Msaada wa kunusuru ndoa yangu tafadhali

Msaada wa kunusuru ndoa yangu tafadhali

Asikudanganye mtu, The Guy is still good ila ukweli ni kwamba kwa umri alionao kwa sasa kwa baadhi ya Wanaume ndio muda wa majukumu mengi, anataka maisha mazuri so he has to fight, maana katika umri huo ndio una-realize kuwa kumbe ndoto ni ndoto na vitendo ni vitendo, huwezi kuota kuwa nataka kuwa tajiri au kuwa na masiha mazuri halafu kweli ikawa, you need to fight and dedicate most of your time ili uweze kufikia lengo lako. kwahio, inawezekana mpenzi wako kwa sasa yuko kwenye hali kama hio, pengine mna watoto, pengine mna ujenzi, pengine wazazi wanawategemea, pengine school fees zinahitajika, pengine anataka kuwa na gari nzuri na maisha ambayo at least ni moderate.

Kwahio sasa, hujikuta muda mwingi akiwaza kazi, akiwaza mali, akiwaza maisha mazuri na kusahau kuwa hata hili la mke nalo ni jambo muhimu sana. Tofauti sasa iko hivi; wewe kwa umri huo uliokaaa kwenye ndoa, tayari watoto wameshakua wakubwa, pengine kazi yako au miradi yako haikubani sana wakati sasa yeye ndio anachukua jukumu la kulea hao watoto (materially na pengine morally) ndio unajikuta wewe akili yako inawaza DUSHE na yeye akili yake inawaza PESA na Future ya Watoto.

Lakini pia usichukulie nilichokiandika kama FINAL inawezekana pia mumeo akawa na matatizo mengine wakati mwingine jichunguze hata the way unavyojiweka na kujitunza na pia kwa baadhi ya nyakati hebu jichunguze LUGHA yako na tabia zako pale nyumba, unawachukluliaje wana familia yako, je una lugha mabyo ni kali au wakati mwingine watu wengine pia hupenda mwanamke mwenye msimamo wa kati, yaani sio mkali sana wala sio legelege hadi baadhi ya mambo unaelekezwa na HG.

Labda hitimisho langu na ambalo linaweza kukusadia ni kujifunza tabia ya mwenza wako, nini anataka na nini hataki, au je anapitia kwenye kipindi gani kwa sasa? nini mtazamo wake kwa watoto na maisha yenu ya baadae kwa ujumla??? Ukaishamjulia next time hutahitaji kukimbilia kwenye mitandao.

Naaminsiha kuwa hakuna specific/unique way ya kupatia tatizo lako ufumbuzi wakati hatumjui mwenza wako na hatujui tabia zako. Ni wewe tu wa kujenga au kuboma. ukiwa na zaid tuhamie PM
 
Miye sometimes nawashangaaga nyie mnaotaka kushauriwa badala ya kukaa na wenzi wenu mkazungumza kwanza mnakimbilia humu kijiweni ngoja uonewe Huruma!!!! Alafu kingine pengine wewe mwenyewe ndo unasababisha usipigwe dushe ila hujui tu, la mwisho mpeleke mumeo kwa wataalam huenda anamatatizo.haya dushe jema!!!
 
Kuamua kwake kuja hapa hakuna ubaya, naamini atakuwa amepata kitu, hata wana MMU wengine tumepata kitu, kwa hiyo kalitumia jamvi vizuri tu. Kikubwa ongea na mumeo
 
Sema nae mwenzio usije ukaleta balaa nyingine kwenye ndoa yenu
 
Miye sometimes nawashangaaga nyie mnaotaka kushauriwa badala ya kukaa na wenzi wenu mkazungumza kwanza mnakimbilia humu kijiweni ngoja uonewe Huruma!!!! Alafu kingine pengine wewe mwenyewe ndo unasababisha usipigwe dushe ila hujui tu, la mwisho mpeleke mumeo kwa wataalam huenda anamatatizo.haya dushe jema!!!

Munkari mshukuru Mungu hayajakukuta ndg mbona hujavuka mto!how far are u sure hatujaongea?irudie thread vizuri kabla hujatoa lawama.kuleta kijiweni sidhani kama ni shida hunijui ckujui.thanx anyway
 
Kuamua kwake kuja hapa hakuna ubaya, naamini atakuwa amepata kitu, hata wana MMU wengine tumepata kitu, kwa hiyo kalitumia jamvi vizuri tu. Kikubwa ongea na mumeo

Thanx Pleasure.its my pleasure to hear from u .blecngs unto you
 
Asikudanganye mtu, The Guy is still good ila ukweli ni kwamba kwa umri alionao kwa sasa kwa baadhi ya Wanaume ndio muda wa majukumu mengi, anataka maisha mazuri so he has to fight, maana katika umri huo ndio una-realize kuwa kumbe ndoto ni ndoto na vitendo ni vitendo, huwezi kuota kuwa nataka kuwa tajiri au kuwa na masiha mazuri halafu kweli ikawa, you need to fight and dedicate most of your time ili uweze kufikia lengo lako. kwahio, inawezekana mpenzi wako kwa sasa yuko kwenye hali kama hio, pengine mna watoto, pengine mna ujenzi, pengine wazazi wanawategemea, pengine school fees zinahitajika, pengine anataka kuwa na gari nzuri na maisha ambayo at least ni moderate.

Kwahio sasa, hujikuta muda mwingi akiwaza kazi, akiwaza mali, akiwaza maisha mazuri na kusahau kuwa hata hili la mke nalo ni jambo muhimu sana. Tofauti sasa iko hivi; wewe kwa umri huo uliokaaa kwenye ndoa, tayari watoto wameshakua wakubwa, pengine kazi yako au miradi yako haikubani sana wakati sasa yeye ndio anachukua jukumu la kulea hao watoto (materially na pengine morally) ndio unajikuta wewe akili yako inawaza DUSHE na yeye akili yake inawaza PESA na Future ya Watoto.

Lakini pia usichukulie nilichokiandika kama FINAL inawezekana pia mumeo akawa na matatizo mengine wakati mwingine jichunguze hata the way unavyojiweka na kujitunza na pia kwa baadhi ya nyakati hebu jichunguze LUGHA yako na tabia zako pale nyumba, unawachukluliaje wana familia yako, je una lugha mabyo ni kali au wakati mwingine watu wengine pia hupenda mwanamke mwenye msimamo wa kati, yaani sio mkali sana wala sio legelege hadi baadhi ya mambo unaelekezwa na HG.

Labda hitimisho langu na ambalo linaweza kukusadia ni kujifunza tabia ya mwenza wako, nini anataka na nini hataki, au je anapitia kwenye kipindi gani kwa sasa? nini mtazamo wake kwa watoto na maisha yenu ya baadae kwa ujumla??? Ukaishamjulia next time hutahitaji kukimbilia kwenye mitandao.

Naaminsiha kuwa hakuna specific/unique way ya kupatia tatizo lako ufumbuzi wakati hatumjui mwenza wako na hatujui tabia zako. Ni wewe tu wa kujenga au kuboma. ukiwa na zaid tuhamie PM

Eli nimekuelewa sana.asnte.hilo tatizo tangu tufunge ndoa analo na tumekaa miaka kadhaa bila kupata watoto!kwa hiyo hayo yote hayaja hangia hilo tatizo.ni zaidi ya.miaka kumi tuna hali hii asante kutoa muda wako kwa ushauri barikiwa
 
Salaam kwenu wadau! nina ndoa ya miaka kumi,tangu niingie kwenye ndoa jamani sijafaidi tunda.

Naona kadri siku zinavyoenda nahisi uhitaji hii huduma muhimu, kwa miaka yote hiyo nimekuwa mwaminifu sijawahi kuchepuka, lakini nowadays hitaji langu limo juu sana ninapata hamu ya kudo kuliko kawaida! niko kwenye mid 30's.

Huby yuko early 40's.muda wote tulioishi pamoja amekuwa hana hamu ya kudo kabisa, akijitahidi ni kamoja tu hawezi rudia tena.

Huko nyuma ilikuwa siyo ajabu kukaa hata miezi mitatu bila mgegedo,by that time haikuwa shida CJUI coz nilikuwa kwenye twenties sina uhakika.

Lakini siku hizi naumia sana kukosa dushe,mpaka nimekuwa na hisia za kutaka kuchepuka jamani.

Mara chache yeye kuwa na hamu ili aina ze,na hili jambo ni kama halimpi shida.

Naombeni mawazo yenu nifanye nini'coz sipendi kuchepuka!mume wangu tunapendana,tumejaliwa watoto 3.

Jamani eeh tatizo la kupungukiwa nguvu lipo sana!msinibeze naombeni mawazo ya kunijenga.:A S 109::A S 109::A S 109::A S 109::A S 109:asante.

Msaada wenu pliiiiiz

miaka kumi umevumilia ndiyo unataka kuachika sasa hivi?!! zunguza na mwenzio ujue sababu mpate matibabu, sivyo nunua dildo au vibrator ham yote itakwisha!
 
Hapa nahisi matatizo mliyaanza wenyewe siku za nyuma lakini hamkujua madhara yake. Umesema siku za nyuma mlikua mnamaliza mwezi bila hiyo kitu and you thought ni sawa. Hapa hakukua na usawa ila ilikua tatizo tayari ambalo hamkulifanyia kazi. Madhara ya hili tatizo ndio haya sasa yanajitokeza umri unapokwenda. wewe unahitaji, mwenzio bado anaona ule mwezi mlikua mnakaa bado ni sawa mpaka sasa. Mimi nadhani njia pekee ni kuongea na mwenzio kumweleza unavyojisikia na kua unahitaji kiasi gani. Usikimbilie kuchepuka maana mwenzio akijua matatizo yatakua makubwa zaidi. Kila la kheri....
 
kuna mada moja humu washajadili sema nimeisahau heading
moja wapo wa tiba ni mchananyiko huu, tangawizi, mdarasini na asali mbichi,
chemsha mdarasini na tangawizi tia kwa kikombe mwanawane weka asali, mpe anywe asubuh na jion yaani kama chai vile
mie imenisaidia
 
kuna mada moja humu washajadili sema nimeisahau heading
moja wapo wa tiba ni mchananyiko huu, tangawizi, mdarasini na asali mbichi,
chemsha mdarasini na tangawizi tia kwa kikombe mwanawane weka asali, mpe anywe asubuh na jion yaani kama chai vile
mie imenisaidia

Asante Masele
 
Wakati wa uchumba mlikuwa mnaishije?? Uliangalia mustakabali wa maisha yenu ya ndoa mkiwa wachumba?? Performance yake ilikuwaje kipind hiko??
 
Wewe ni mzinzi wataka halalisha tu na pia mueleweshe mmeo
 
Wewe ni mzinzi wataka halalisha tu na pia mueleweshe mmeo

Hujui ulisemalo ndg,bila shaka ww ndiye mzinzi,jiulize kwa miaka yote hiyo nani aliyenizuia kufanya uzinifu!mbona ningeweza tu kuchepuka na maisha yakaendelea!nimekuja hapa just kupata mawazo tofauti who knows labda naweza kujengwa na mawazo ya walionitangulia.pole andybird hujui usemalo thanx anyway
 
Pole sana wangu,kabla sijatoa langu labda nikuulize je ulishawahi kuzungumza na mumeo? Anayajua machungu yako haya?
 
Back
Top Bottom