kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Habari wana JF
Hapa nilipo nina mpenzi wangu ambaye tuna miezi 8 sasa tokea tumeanza urafiki wetu. Huyu mpenzi wangu ananipenda sana lakin mimi moyoni mwangu hayumo kabisa, najitahidi kila mara angalau kumkasirisha nikidhani labda anaweza aka give up lakin wapi, shida yeyote nayoipata yupo mstari wa mbele kunisaidia. Sasa kila nikitaka kumwacha nashindwa maana naona ntamuumiza sana bint wa watu na nikisema niendelee naye nifunge ndoa nashindwa maana moyoni hajakaa kabisa
Naombeni msaada wana JF jinsi ya kujivua gamba kwa huyu binti
Hapa nilipo nina mpenzi wangu ambaye tuna miezi 8 sasa tokea tumeanza urafiki wetu. Huyu mpenzi wangu ananipenda sana lakin mimi moyoni mwangu hayumo kabisa, najitahidi kila mara angalau kumkasirisha nikidhani labda anaweza aka give up lakin wapi, shida yeyote nayoipata yupo mstari wa mbele kunisaidia. Sasa kila nikitaka kumwacha nashindwa maana naona ntamuumiza sana bint wa watu na nikisema niendelee naye nifunge ndoa nashindwa maana moyoni hajakaa kabisa
Naombeni msaada wana JF jinsi ya kujivua gamba kwa huyu binti