Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 363
Kaka naomba unijibu,Kati yako na yeye ni nani alikuwa wa kwanza kumtamkia mwenzie juu ya hisia za mapenzi(yaani nani alianzan kutongoza mwenzake?)katika jibu lako kama ni wewe kwa kweli ndugu wafanya vibaya maana tamaa iliyokuongoza kumtongoza na kumpata huyo ndiyo hiyo hiyo itakupeleka kwa mwingine na kisha naye utajisikia hayuko moyoni mwako na utataka mwengine,sa hapo si utakuwa ujitakii maisha ndugu yangu ?????umechakachua weeeeeeee sasa hivi ndo unaona hayuko moyoni.AAcha hizo Dunia imevaa nepi........dunia inaharisha......take care!!!!!!!!!