Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wana jamvi naomba msaada wenu kujua ni kozi gani na chuo gani kinaweza kumfaa mdogo wangu ambaye amemaliza form six mwaka huu na kupata alama zifuatazo.
1:Chemistry..........C
2:Biology..................D
3:Geography......D
4:Bam...........................D
Ana div 11.
Naomba kujua je ni kozi gani anaweza kuomba na ni kupitia chuo kipi?
Tafadhali jamani kuuliza siyo ujinga naomba mnisaidie mwenzenu.
1:Chemistry..........C
2:Biology..................D
3:Geography......D
4:Bam...........................D
Ana div 11.
Naomba kujua je ni kozi gani anaweza kuomba na ni kupitia chuo kipi?
Tafadhali jamani kuuliza siyo ujinga naomba mnisaidie mwenzenu.