Msaada wa kuagiza gari

Msaada wa kuagiza gari

Going Concern

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,213
Mama yangu mzazi anataka kuagiza gari aina ya swift ya mwaka 2003, Cc 1300...gharama nzima ambayo imeandikwa kwenye mtandao ni
C.I.F= $2300 nilikua nataka kujua total tax ikishafika and any other costs, naombeni msaada wenu wandugu....
 
Haina hiyo ya gari kwakuwa Ina miaka zaidi ya 10 itakuwa na chaji ya ziada hivyo wawezalipia 4ml mpaka na usajiri...swift soko lake si nzuri ndio maana bei yake ipo chini...spare zake ni matatizo si Kama Toyota hiyo nadhani ni Nissan ...pili Kuwa mwangalifu kuna matapeli wengi sana online....cheap is exp...+971504374387
 
Asikutishe huyo,
Ongeza $300 utapata ya 2004 ambayo utasave 30% kwenye duty,

Yaani $2300,30 % yake ni $690 ambayo utailipa zaidi kwenye ushuru,dola 300 utasave $390

Ni gari nzuri spare zipo ila ghali kidogo,na hazifi haraka
ushuru kwa hiyo itakua around 3.5M

Regards
 
Kama upo serious kupata gari inayodumu isiyo na usumbufu katika matengenezo, bonyeza HAPA
 
Ukweli upo pale pale kwa africa soko la toyota ni la juu kuliko nissan..hakuna mtu aliyemtisha ni ushauri tuu...ndio hata wewe jamiix umerudia yaleyale
 
Swift ni Suzuki sio Nissan wakuu
Haina hiyo ya gari kwakuwa Ina miaka zaidi ya 10 itakuwa na chaji ya ziada hivyo wawezalipia 4ml mpaka na usajiri...swift soko lake si nzuri ndio maana bei yake ipo chini...spare zake ni matatizo si Kama Toyota hiyo nadhani ni Nissan ...pili Kuwa mwangalifu kuna matapeli wengi sana online....cheap is exp...+971504374387
 
Haina hiyo ya gari kwakuwa Ina miaka zaidi ya 10 itakuwa na chaji ya ziada hivyo wawezalipia 4ml mpaka na usajiri...swift soko lake si nzuri ndio maana bei yake ipo chini...spare zake ni matatizo si Kama Toyota hiyo nadhani ni Nissan ...pili Kuwa mwangalifu kuna matapeli wengi sana online....cheap is exp...+971504374387

i doubt your car/motor vehicle experience .... swift is a suzuki model and not nissan ....

sioni sababu ya wewe kumtisha huyu bwana while your colour resembles what you call 'matapeli'
 
i doubt your car/motor vehicle experience .... swift is a suzuki model and not nissan ....

sioni sababu ya wewe kumtisha huyu bwana while your colour resembles what you call 'matapeli'

Habari yako ndugu nilikuwa naomba msaada kuna mtu kanipigia simu ana gari yake anauza sh. Mil. 6.7 aina ya gari ni ipsum model 1998. Naitaji msaada mana mimi sio mzoefu wa Magari..Niangalie kitu gani muhimu kabla ..
 
Haina hiyo ya gari kwakuwa Ina miaka zaidi ya 10 itakuwa na chaji ya ziada hivyo wawezalipia 4ml mpaka na usajiri...swift soko lake si nzuri ndio maana bei yake ipo chini...spare zake ni matatizo si Kama Toyota hiyo nadhani ni Nissan ...pili Kuwa mwangalifu kuna matapeli wengi sana online....cheap is exp...+971504374387


Swift siyo Nissan, ni SUZUKI (inaitwa SUZUKI SWIFT).
 
Back
Top Bottom