Umenifumbua macho, naona haya ni majibu ya huyo niliyembold 7bu alikuja hapa jamvini na kulalamika kuna mtu amemkopa hela hataki kumrudishia.Hebu malizaneni bana
Mkuu umeona eeehhh naona kuna zaidi ya hicho jamaa anacholalamika hapa n a hakuna cha defamation na kuna personal issues zaidi ya hiyo