Msaada wa kisaikolojia unahitajika

Msaada wa kisaikolojia unahitajika

Single mothers siyo watu wakuu ni mashetan
Narudia tena ni mashetan Kam ujawai ingia mausiano na single mothers ujaribuuu ata bureeeeee😭😭😭😭😭🤣
 
Kweli wajinga hawaishi hivi kwa dunia ya leo unakosa usingiz kisa Kafakeni kamoja tu tena kalikozalishwa kakaachwa dah unatuangusha wanaume asee
 
Bro kwenye haya maisha usimwamini mtu yoyote itakusaidia sana. Ishi na watu wote kwa upendo na ikitokea kuna mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako mfungulie mlango tu ila kamwe usimfungulie mlango akitaka kurudi ila msamehe tu kibinadamu hata urafiki usimpe iyo chance.

Hii sio kwa wenzi tunao ishi nao bali kwa kila mtu. Bora kuruhusu watu wapya kwenye maisha kuliko watu wazamani walio ondoka na waliopoona umuhimu wako wanataka kurudi.
Point ya msingi Sana Yaani usilazimishe mambo sijui mapenzi,urafiki n.k "what always belongs to you will always find u"
 
Hilo tatizo linahitaji moyo na kipindi kigumu sana but usikae mazingira negative. Na don't overthink yeah ni ngumi lakini the way I see it you can either run from it or learn from it.
 
Bro umri mbona bado upo unaumia na nin,
We mkubwa bwana izo mambo za kushindwa kula waachie watoto wa 2000s,
We move on...................
 
Pole sana mkuu. Mapenzi yanauma sana ila utakaa sawa
 
Kaka Kwanza pole, Kwa maelezo yako nimegundua yafuatayo kisha nitakupa kama mimi ningefanyaje.

Wew Unampenda huyo binti kwa dhati na umeamua kukaa na mtoto wake

Binti amewaweka kwenye mizani wanaume wawili wew na huyo jamaa ila kuanzia alhamisi alionekana kumkubali jamaa.Alipoenda atakuta tofauti na matarajio afadhari ya kwako kwa maana hiyo wewe ni option B,Kuwa makini anatafuta option A akiipata anaenda na kukuacha tena Hapo Ndio utajuta zaidi

Chunguza vizuri ukute hata baba mtoto yupo hai ila walizinguana tu ,sio mkweli huyo binti.

Shukuru Mungu amekuonyesha mapemaa muache aende zake.
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.

Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.

Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.

Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae.

Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa.

Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana, ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.

Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee. Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena?

Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake. Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.

Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay, text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng.. mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!

Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni. Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs. Nikaipiga ile namba jamaa akapokea, nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.

Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke. Tukaishia.

Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat.

Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on! Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.

Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya?

Nawasilisha.
View attachment 2496610

Mh na wew bado unaenda
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.

Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.

Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.

Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae.

Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa.

Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana, ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.

Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee. Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena?

Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake. Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.

Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay, text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng.. mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!

Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni. Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs. Nikaipiga ile namba jamaa akapokea, nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.

Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke. Tukaishia.

Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat.

Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on! Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.

Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya?

Nawasilisha.
View attachment 2496610
Pole mzee kwa yaliyokukuta.
Mwenyew Yashawahi kunitokea hayo lakini mm nilikuwa huyo jamaa uliyempigia simu.
Hv watu mnapata wapi ujasiri wa kuoa single mothers?
Yaan mm mwanamke akishakuwa na mtoto tuu baaaac huyo hayupo tena kweny akili yangu.
Pole kaka, kwanza kubaliana na hio hali kwamba nimegongewa my future wife, then concentrate kweny kazi na anzisha mahusiano na mademu wengine itakusaidia, japokuwa haitakuwa kazi rahic.
 
Ndio maana ni bora uwe single au kuwa nao 3 plus ns unacheza kwa akili.

Mmoja ni risky sana. Mimi mwanamke akianza mawenge huwa nafanya mirroring.. unamuonesha vile anafanya.

Maana huwa hawafikirii. Wanajali hisia zao saaana kuliko sacrifice unazotoa.

And hamna kitu kinanuumiza mwanamke km vile kujua hautingishiki na usenge wake.. anafanya usenge puuzua tu.

Tujifunze kurespond na sio lureact.
 
Bro kwenye haya maisha usimwamini mtu yoyote itakusaidia sana. Ishi na watu wote kwa upendo na ikitokea kuna mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako mfungulie mlango tu ila kamwe usimfungulie mlango akitaka kurudi ila msamehe tu kibinadamu hata urafiki usimpe iyo chance.

Hii sio kwa wenzi tunao ishi nao bali kwa kila mtu. Bora kuruhusu watu wapya kwenye maisha kuliko watu wazamani walio ondoka na waliopoona umuhimu wako wanataka kurudi.
Never re-friend, a snake only shades its skin to be a bigger snake...
 
Back
Top Bottom