Msaada wa kisaikolojia unahitajika

Msaada wa kisaikolojia unahitajika

Maumivu unayopitia ni ya mida mfupi tu. Ni kama maumivu ya kutairiwa..kwa sisi tulio tairiwa bila ganzi tunajua mziki wake..lakini yalipita na leo tupo.

Mimi huwa naona mwanamke akikuacha unatakiwa kushukuru, tena kushukuru sana. Maana hamjafika mbali. Ukilazimisha tu kiendelea naye majuto na maumivu yake yatakuwa mara 1000 zaidi.
 
It's ok bro, kama mtu ulimpenda kwel, ni sawa kabisa bro upo sahihi

Kukosa hamu ya kula ni sawa, kukosa usingizi ni sawa na ufanisi wako wa kazi kushuka ni sawa pia baada ya kuzinguliwa na mtu uliyempenda sana

Hapo ni wewe kwanza ukubali hali halisi kwamba she is gone, then jipe muda utamsahau tu huyu malaya, huwez kumsahau Kwa usiku moja, huwez kumsahau kwa wiki moja, sio chini ya wiki tatu bro ndo utakaa sawa

Kata mawasiliano naye kwa njia yeyote ile, iwe sim , kupitia mtu au ana Kwa ana, yani usitake kujua yupo wapi, na nani, anafanya nini, yani potezea mazima, futa namba, sijui hao ndugu zake kata mazoea yani kata.

Utamsahau lakini subr muda upite ndani ya huo mda kata nae mawasiliano
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.
Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.
Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.
Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae,
Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa. Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana,ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.
Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee... Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena??
Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake.
Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.
Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay,text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!!
Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni.
Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs.
Nikaipiga ile namba jamaa akapokea,nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.
Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke.
Tukaishia.
Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat. Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on!!
Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.
Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya.

Nawasilisha.
View attachment 2496610
Move on bro, najua kwa mliyoyapitia hii hali haiwezi kuondoka kwa siku moja ama kwa haraka ivyo,

Kubali matokeo though yanauma
Tuliza akili usimsumbue kumtafuta kwneye simu maana kuna siku atakujibu shits utatamani kujiua
Take time relax jichanganye na wana
Fanya mambo ambayo huwa yanakupa furaha on her absence.....

Kinachouma hapo ni mazoea na namna gani watu watakuchukulia wamezoea kukuona naye.

Me shuhuda wa hilo kuna binti tumekuwa naye for 3yrs now lakini amekuja kuchukuliwa na mwana ambaye alikuwa ni x-wake, kibaya zaidi hao wote wawili tupo nao kikundi kimoja so imagen unahitaji ku move on na unawaona kila siku wako pamoja..... time heals nimepona kwa sasa niko poa .

Usikate tamaa, dont bullshit yourself men
 
Nimesoma huu uzi moyo ukaanza kwenda mbio utadhan mi ndiye mtendwa. Anyway, sijawahi kukutana exact situation kama hiyo, ila situation za mapenzi za kuumiza nshakutana nazo.

Like moja iliyowahi kunila sana ni manzi yangu wa muda mrefu alijazwa kibendi na mdau mwingine...ilinila si kidogo. Ila Sikuomba mtu ushauri. Maana najua katika mapenzi, hata ushauriwe vipi, mwamuzi wa mwisho ni wewe.

Ikabidi tuu nijipe muda. katikati ya maumivu hayo, nikachagua kujipa muda maana binafsi nilishindwa niamue nini. Alikuwa ni mwanamke ambae alifahamika hadi kwetu.

Yeye alikuwa tayari kuendelea na mimi maana hata aliyemjaza kibendi alimchinjia baharini. Mtihani kwangu ulikuwa ni kuamua niendelee nae tu au nipotezee...nilimpenda sana.

Hatimaye muda ukajibu. Nikajikuta nimepata ujasiri wa kumtamkia SIKUTAKI. Na hapo moyo wangu ulikuwa wazi kabisa kwamba simtaki. Alilia nakunibembeleza kwa kila meseji. Mimi muda ulishaniponya, hakufanikiwa.

Alifanikiwa kujifungua mtoto wa kike. Ilikuwa 2015 hiyo. And as i speak ni single maza.

Mimi baada ya muda mrefu nikafanikiwa kupata my match. Katoto flani kabichi kabisa, nikawanako in relation kwa miaka mingi, kakanifurahisha, nikakaoa, saii tuko na 3yrs boy na kibendi kingine.

So chakukushauri hapo 'TAKE YOUR TIME'. Maamuzi sahihi yanahitaji muda sahihi.
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.
Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.
Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.
Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae,
Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa. Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana,ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.
Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee... Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena??
Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake.
Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.
Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay,text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!!
Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni.
Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs.
Nikaipiga ile namba jamaa akapokea,nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.
Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke.
Tukaishia.
Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat. Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on!!
Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.
Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya.

Nawasilisha.
View attachment 2496610
Baba mtoto uliona kaburi lake?
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.
Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.
Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.
Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae,
Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa. Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana,ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.
Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee... Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena??
Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake.
Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.
Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay,text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!!
Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni.
Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs.
Nikaipiga ile namba jamaa akapokea,nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.
Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke.
Tukaishia.
Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat. Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on!!
Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.
Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya.

Nawasilisha.
View attachment 2496610
nilikua na mwanamke pia tulikua tuko poa chemisrtry ipo you name it basi ikaokea nikahama mkoa nikaenda mkoa mwingine akawa anakuja tunakaa basi siku moja mida kama ya saa kumi na mbili akaniambia usiku mwema nikasema mbona mapema akaniambia ndoivo mimi nikatulia

Zikapita siku 3 bila sms wala kupiga hata kubeep na whatsapp namuona yuko oneline . nikajua tayari wahuni washamharibu akili kesho yake ambayo ni siku ya nne ananiafuta ananiuliza uko poa as if hakuna kilichotokea nikamwambia kuwa na amani ishi kwa uhuru kama unaona nakuletea vikwazo basi tusijuane akakaa kimya nikakaa kimya.

Siwezi kudanganya niliumia sana ila ni nature ya mwanaume kukaza na kujiamin na kuwa na msimamo uliothabiti.

Mwanamke anafikiri kwa hisia na mihemko na yeyote atakayetaka kushindana naye katika hali hii lazima ashindwe hijalishi ni kaka, baba au hata mama yake mzazi.

Piga kifua sema mimi ni mwanaume tembea nje fanya kazi panga mambo yako usimtafute na akiutafuta mkazie mwisho wa siku ndio kukua huko na mwisho

MWANAMKE AMABAYE ANATAKIWA AKUSUMBUE AKILI NI MAMA YAKO MZAZI PEKEE
 
Move on bro, najua kwa mliyoyapitia hii hali haiwezi kuondoka kwa siku moja ama kwa haraka ivyo,

Kubali matokeo though yanauma
Tuliza akili usimsumbue kumtafuta kwneye simu maana kuna siku atakujibu shits utatamani kujiua
Take time relax jichanganye na wana
Fanya mambo ambayo huwa yanakupa furaha on her absence.....

Kinachouma hapo ni mazoea na namna gani watu watakuchukulia wamezoea kukuona naye.

Me shuhuda wa hilo kuna binti tumekuwa naye for 3yrs now lakini amekuja kuchukuliwa na mwana ambaye alikuwa ni x-wake, kibaya zaidi hao wote wawili tupo nao kikundi kimoja so imagen unahitaji ku move on na unawaona kila siku wako pamoja..... time heals nimepona kwa sasa niko poa .

Usikate tamaa, dont bullshit yourself men
Max Hawa huwaga na nn sijui🙁
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.
Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.
Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.
Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae,
Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa. Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana,ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.
Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee... Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena??
Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake.
Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.
Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay,text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!!
Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni.
Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs.
Nikaipiga ile namba jamaa akapokea,nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.
Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke.
Tukaishia.
Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat. Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on!!
Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.
Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya.

Nawasilisha.
View attachment 2496610
Watu husema, kumiliki single mom ni sawa na kununua shamba lenye mgogoro.
 
Kabisa Yan sijui ni kukosa kujitambuaa ndo kunogewa au nn sijui 😀
Afu kwa mfano on my case ni kwamba

Huyu x wake me sikuwahi jua kuwa walikuwa na mahusiano kuna siku nimekaa na huyo bwana akaanza kumkandia dem kamkandia sana tena mbele ya watu wazito tu...

As a man wala sikutaka hata yule mwanamke anote kuwa kuna kitu tumeongea na huyo mtu huezi amini nlisafiri mkoani nlivorudi nliwakuta wana urafiki wa karibu sana 😀 hatimaye wamekuwa pamoja tena.

Sema muda nimeamaua kukubali yaishe nkamuonea binti huruma coz huyo mwamba ni mume wa mtu 😀😀😀

Katika yooote wanaume lazima tuwe na vumba la kutosha linapunguza sana stress za mapenzi na linapunguza possibility za kupigwa tukio.

Ujue ukiwa na pesa hata tukio lenyewe unapigwa kama unaombwa hivi 😀😀😀
 
Utapotea bila sababu, fikilia malengo uliyojiwekea wafikilie watu wanaokutegemea katika maisha yako,kupoteza ufanisi kwa mtu km huyo, nikuwakosea watu waliokuamini kwanzia kwenye kazi unayofanya na jamii kwa ujumla

Huyo mwanamke kajua madhaifu yako kuwa wewe huwezi kumuacha,na atakutesa Sana unachotakiwa kufanya ni kumuonesha kuwa unaweza kufanya maamuzi ya kiume
 
Kilamtu naamini ameshapitia halihiyo kama wapo ambao hawajapitia wachache sana kuachana na mtu unaempenda sana Tena bilankujiandaa sio mchezo unaweza hisi masaa hayasogei lkn hakuna ataekuelewa zaidi ya wew kuueelewesha moyowako kuwa sio wako
Kilaunapokumbuka jaribu kusema hakuwa wangu mazoea ndo Huwa yanatesa sana lkn utakuwa sawa na maisha yataendelea
 
Back
Top Bottom