Msaada wa Kimawazo: Nina degree moja lakini haina soko, nahitaji kusoma degree nyingine

princeNathan

Senior Member
Apr 5, 2023
167
335
Nikiwa muhitimu wa shahada Moja miaka miwili nyuma kwenye kada ya IT ila nimeomba degree nyingine na nimechaguliwa kozi ya mechanical engineering chuo fulani hapa Tanzania, Je wakuu mnanishauri vipi nipige hiyo mechanic au!

Hii ni baada ya kukosa ajira mbali mbali nilipoomba, nahitaji ushauri wa kimawazo na sio matusi ipi itanisaidia kuhus umri bado kijana mdogo nilimaliza degree ya kwanza nikiwa na miaka 24 kwasasa ninayo kama 26.
 
Nikiwa muhitim wa shahada Moja miaka miwili nyuma kwenye kada ya IT ila nimeomba degree nyingine na nimechaguliwa kozi ya mechanical engineering chuo fulani hapa tz je wakuu mnanishaur vip nipige iyo mechanic au hii ni baad ya kukosa ajira mbali mbali nilipoomba nahitaji ushaur wa kimawazo na sio matus ipi itanisaidia kuhus umr bado kijana mdogo nilimaliz degree ya kwanza nikiwa na miaka 24 kwasasa ninayo kama 26

Umehitimu kada ya IT halafu unasema haina soko?
 
Tumia ada kufanya biashara inayo husiana na ulicho somea, pia fungua office ya kutoa huduma zinazo husiana na kile ulichosomea

Wateja ni wengi ,

ila ukiendelea kuwa na mentality ya kurudi kusoma ili ukaajiliwe bado safari yako itakuwa ndefu sana.

Ujuzi wa mechanics unaweza jifunza YouTube na garage darasani ni kupoteza muda, the so called degree gives you certificates not skills, nenda mtaa kakomae kwa vitendo jinoe YouTube au nyoosha veta utatoka na kitu.
 
Nikiwa muhitimu wa shahada Moja miaka miwili nyuma kwenye kada ya IT ila nimeomba degree nyingine na nimechaguliwa kozi ya mechanical engineering chuo fulani hapa Tanzania, Je wakuu mnanishauri vipi nipige hiyo mechanic au!

Hii ni baada ya kukosa ajira mbali mbali nilipoomba, nahitaji ushauri wa kimawazo na sio matusi ipi itanisaidia kuhus umri bado kijana mdogo nilimaliza degree ya kwanza nikiwa na miaka 24 kwasasa ninayo kama 26.
Mkuu kama GPA Yako inasoma 3.5 nakushauri kuliko usome degree nyingine kapige masters ya IT au Cyber security then uapply position ya kufundisha huwa zipo nyingi na hazina competition sana so utapata chap. Masters ni 18 months mpaka miaka 2 ukimaliza tu utajikuta unafundisha kama assistant lecturer.
 
Nikiwa muhitimu wa shahada Moja miaka miwili nyuma kwenye kada ya IT ila nimeomba degree nyingine na nimechaguliwa kozi ya mechanical engineering chuo fulani hapa Tanzania, Je wakuu mnanishauri vipi nipige hiyo mechanic au!

Hii ni baada ya kukosa ajira mbali mbali nilipoomba, nahitaji ushauri wa kimawazo na sio matusi ipi itanisaidia kuhus umri bado kijana mdogo nilimaliza degree ya kwanza nikiwa na miaka 24 kwasasa ninayo kama 26.
Ukijua maana halisi ya ELIMU samahani lakini wewe ni msomi tena wa ELIMU ya juu kabisa....

Anza kujifunza ni nini hitaji lako maishani 😊🤓 siku ukigundua kipi unakiitaji maishani then you can dedicate & start to find financial freedom...

Keep in mind siku ukimaliza huyo degree ingine ya machenical engineering let's say another four years then ukaja gundua tena it's a SCAM

All in all,
Definition yangu ya ELIMU ni Yale maarifa na skills zinazo mwezesha binadamu atawale maisha yake.....

Hiyo ada unayo taka kuipeleka kuisomea anzisha tafuta ma giant katika field yoyote nenda kajifunze............

Baadae utakuja kugundua ELIMU na maisha na everything is illusion..
 
Nikiwa muhitimu wa shahada Moja miaka miwili nyuma kwenye kada ya IT ila nimeomba degree nyingine na nimechaguliwa kozi ya mechanical engineering chuo fulani hapa Tanzania, Je wakuu mnanishauri vipi nipige hiyo mechanic au!

Hii ni baada ya kukosa ajira mbali mbali nilipoomba, nahitaji ushauri wa kimawazo na sio matusi ipi itanisaidia kuhus umri bado kijana mdogo nilimaliza degree ya kwanza nikiwa na miaka 24 kwasasa ninayo kama 26.
IT specialization ipi mkuu?
Software ama Hardware?
 
kama unataka kusoma mechanical engineering kwa lengo lile lile la kutaka kuajiriwa, nayo haikufai utakisa kaz kama unavyokosa ukiwa na IT. Inabidi tukae kikao cha jf members wote tujadili kozi gani usome ili ukimaliza tu chap kidogo bila kuchelewa uajiriwe.
Lkn kama ww unapenda ubunifu na kucheza na mitambo hasa mitambo/mashine ndogo ndogo that is the best course you can take. Nchi yetu ni ya wakulima na wafugaji pamoja na viwanda vidogo vidogo vinaibuka kila kukicha lkn tunakosa zana na vitendea kaz vingi sana naongea from experience.
 
Mkuu kama GPA Yako inasoma 3.5 nakushauri kuliko usome degree nyingine kapige masters ya IT au Cyber security then uapply position ya kufundisha huwa zipo nyingi na hazina competition sana so utapata chap. Masters ni 18 months mpaka miaka 2 ukimaliza tu utajikuta unafundisha kama assistant lecturer.

Gpa ya 3.5 sikufikisha kaka ila nikitak kusoma nje naend
 
Back
Top Bottom