The blessed one1
Member
- Dec 13, 2023
- 30
- 106
Wakuu,
Umri: 24 years
Wasiwasi wangu, nahitaji msaada wa kimawazo kwenye mambo haya.
Sijawahi kuwa na mpenzi hivyo sijawahi kufanya mapenzi, je nimechelewa au niko nje ya muda?
Niliambiwa mtu sahihi atakuja kwa wakati sahihi, niliwahi kujaribu kutongoza nikakataliwa, je niendelee kumsubiri mtu atakaye nipenda au nitoke nikamtafute, nianze kutongoza wasichana?.
Naonekana mdogo, kama 17yrs, wasichana wa rika yangu wananidharau, hii inanifanya nakuwa mpweke, nifanyeje?
Nikiri kwamba nimewaomba msaada wa kimawazo kwa kuwaamini sana, na hakuna mtu ningeweza kumwambia haya ila kwa kutype tu kujificha nyuma ya kibodi.
Natanguliza shukrani wakuu.
Umri: 24 years
Wasiwasi wangu, nahitaji msaada wa kimawazo kwenye mambo haya.
Sijawahi kuwa na mpenzi hivyo sijawahi kufanya mapenzi, je nimechelewa au niko nje ya muda?
Niliambiwa mtu sahihi atakuja kwa wakati sahihi, niliwahi kujaribu kutongoza nikakataliwa, je niendelee kumsubiri mtu atakaye nipenda au nitoke nikamtafute, nianze kutongoza wasichana?.
Naonekana mdogo, kama 17yrs, wasichana wa rika yangu wananidharau, hii inanifanya nakuwa mpweke, nifanyeje?
Nikiri kwamba nimewaomba msaada wa kimawazo kwa kuwaamini sana, na hakuna mtu ningeweza kumwambia haya ila kwa kutype tu kujificha nyuma ya kibodi.
Natanguliza shukrani wakuu.