Msaada wa kibenki tafadhali

Msaada wa kibenki tafadhali

Izy_Name

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2020
Posts
1,061
Reaction score
2,552
Niende moja kwa moja bila kuweka mbwembwe,

Nina kadi ya CRDB Tembo Card Master, nimejaribu kuitumia kufanya manunuzi AliExpress imegoma naambiwa
We don’t support this kind of card. Please try another.

Kifupi wanamanisha aina hii ya card haitumiki AliExpress, swali langu ni je, naweza nikapata mtandao mwingine naoweza kufanya manunuzi kwa card hii hii ya Tembo Card bila kwenda bank kufanya maboresho yoyote? Hata ikiwezeka kuilink na mitandao mingine kama paypal n.k, ambayo itanisaidia kufanya purchasing.

Ni hayo tu.
 
Je naweza nikapata mtandao mwingine naoweza kufanya manunuzi kwa card hii hii ya tembo card bila kwenda bank kufanya maboresho yoyote.
By default, kadi zote huwa zimezuiwa kufanya manunuzi mtandaoni, ili kulinda usalama wa fedha yako, Ni mteja anapaswa kueleza kuwa unahitaji kuitumia kufanyan miamala mtandaoni na utapewa fomu utajaza, na kadi yako itaruhusiwa kufanya manunuzi/ malipo mtandaoni.

Hivyo fika benki na watakusaidia kuiwezesha kadi yako.
 
By default, kadi zote huwa zimezuiwa kufanya manunuzi mtandaoni, ili kulinda usalama wa fedha yako, Ni mteja anapaswa kueleza kuwa unahitaji kuitumia kufanyan miamala mtandaoni na utapewa fomu utajaza, na kadi yako itaruhusiwa kufanya manunuzi/ malipo mtandaoni.

Hivyo fika benki na watakusaidia kuiwezesha kadi yako.
Hakuna lazima ufike benki .mbadala wake ni mpesa visa card na makato ni almost the same
Je naweza kuamishia pesa kwenye mpesa, tpesa nk kwa laina tofauti maana npo na sim card ambayo ni tofauti na ile niliyotumia kwenye baadhi ya details za kufungua account ya bank
 
KWa urahisi kama una account ya MPesa tengeneza virtual card. Binafsi nimekia nikiitumia kwenye manunuzi mtandaoni bila changamoto yoyote.
 
KWa urahisi kama una account ya MPesa tengeneza virtual card. Binafsi nimekia nikiitumia kwenye manunuzi mtandaoni bila changamoto yoyote.

mkuu kutengeneza virtual card najua ila swali langu kubwa ni je inawezekana kuhamisha pesa kutoka benk na kwenda kwenye lain yeyote ile tofauti na niliyo tumia kwenye baadhi ya taarifa wakati natengeneza account ya bank
 
mkuu kutengeneza virtual card najua ila swali langu kubwa ni je inawezekana kuhamisha pesa kutoka benk na kwenda kwenye lain yeyote ile tofauti na niliyo tumia kwenye baadhi ya taarifa wakati natengeneza account ya bank
Hapo sina uzoefu
 
je inawezekana kuhamisha pesa kutoka benk na kwenda kwenye lain yeyote ile tofauti na niliyo tumia kwenye baadhi ya taarifa wakati natengeneza account ya bank
Ndio waweza kuhamisha fedha.
  • 1. Kwenda Benki | kutoka namba yeyote ya mtandao wowote kwa jina la usajiri lolote katika simcard husika, Na fedha itakufikia kwenye account yako.
  • 2. Pia Kutoka benki kwenda Kwenye laini yeyote, Mtandao wowote, kwa usajiri wa jina lolote fedha itapokelewa kama kawaida kwenye namba husika.
 
asante mkuu kipi cha muhimu kinacho hitajika baada ya password na card number
Ndio waweza kuhamisha fedha.
  • 1. Kwenda Benki | kutoka namba yeyote ya mtandao wowote kwa jina la usajiri lolote katika simcard husika, Na fedha itakufikia kwenye account yako.
  • 2. Pia Kutoka benki kwenda Kwenye laini yeyote, Mtandao wowote, kwa usajiri wa jina lolote fedha itapokelewa kama kawaida kwenye namba husika.
 
kuna taarifa nyingine labda nitaombwa kujaza tofauti na account number na password?
 
Back
Top Bottom