Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,890
Nimejaribu kuomba msaada imeshindikana.
Mie nilikuwa sina mpenzi nikawa na mtu friend with benefits. Sasa nipo na chibabu nikasema ngoja nimwambie kuwa mie sio single tena.
Weeeh! Akawaka akadai yeye hajui hilo saivi yupo kama ananikomoa dah! Anaandika message za mapenzi, kero za hapa na pale nilishamwambia chibabu akawa mwelewa ilahii ni too much nikimblock anatumia namba nyingine.
Pleasee msaada, tofauti ya huyu jamaa sinaga mtu. It's like 4 years now tupo tu. Inaitwa kutoleana stress.
Msaada, what should I do?
Mie nilikuwa sina mpenzi nikawa na mtu friend with benefits. Sasa nipo na chibabu nikasema ngoja nimwambie kuwa mie sio single tena.
Weeeh! Akawaka akadai yeye hajui hilo saivi yupo kama ananikomoa dah! Anaandika message za mapenzi, kero za hapa na pale nilishamwambia chibabu akawa mwelewa ilahii ni too much nikimblock anatumia namba nyingine.
Pleasee msaada, tofauti ya huyu jamaa sinaga mtu. It's like 4 years now tupo tu. Inaitwa kutoleana stress.
Msaada, what should I do?