Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Habari za humu ndani ndugu zangu,
Tafadhali naomba msaa wenu, nina modem ya UNIVESAL hiz ambazo zinauzwa bila service provider, kila niki connect haikubali,
Naomba mwenye kujua miweke vitu gani kwenye setting za APN au namna yoyote ile ili i connect,
maana naona mitandao ya nchi mbalimbali tu kasoro TANZANIA ndo haimo
Asanten sana
Tafadhali naomba msaa wenu, nina modem ya UNIVESAL hiz ambazo zinauzwa bila service provider, kila niki connect haikubali,
Naomba mwenye kujua miweke vitu gani kwenye setting za APN au namna yoyote ile ili i connect,
maana naona mitandao ya nchi mbalimbali tu kasoro TANZANIA ndo haimo
Asanten sana