Tempest
Senior Member
- Apr 26, 2022
- 192
- 296
Habarini wadau,
Kama wiki sasa nimepata hili tatizo la miguu kufa ganzi, wa kushoto ndio sana mpaka sasa nakuwa siu feel kwa kiasi kikubwa, nikajua itaenda ikipungua ila naona ipo same au kama inapungu basi taratibu sanaaa kiasi chja kwamba siwezi jua,
Kama kuna yoyote mwenye ujuzi au alishawahi kukumbana na hili akapona msaada wako unahitajika
Hospital nimeenda mara mbili mara ya mwisho leo, mara ya kwanza niliambiwa inaweza kuwa ni upungufu wa Vitamin b12 maana dalili pia zinaambatana na ngozi kuwa kavu sana uchovu n.k nikachoma sindano kadhaa za vitamin b12 pamoja na vidonge ila mpaka leo maendeleo ni hafifu tu, leo nikaenda kucheki sukari pamoja na syphilis kwa mujibu wa dokta maana niliambiwa asilimia kubwa itakuwa ni sukari ila majibu yote hayo yamekuwa negative
Msaada kwenye hili tafadhali maana nahisi ni nerve damage somewhere ila sijui cause ndio inaniogopesha nahofia isije ikawa permanent hii feeling which is bad sana kwa upande wangu.
Kama wiki sasa nimepata hili tatizo la miguu kufa ganzi, wa kushoto ndio sana mpaka sasa nakuwa siu feel kwa kiasi kikubwa, nikajua itaenda ikipungua ila naona ipo same au kama inapungu basi taratibu sanaaa kiasi chja kwamba siwezi jua,
Kama kuna yoyote mwenye ujuzi au alishawahi kukumbana na hili akapona msaada wako unahitajika
Hospital nimeenda mara mbili mara ya mwisho leo, mara ya kwanza niliambiwa inaweza kuwa ni upungufu wa Vitamin b12 maana dalili pia zinaambatana na ngozi kuwa kavu sana uchovu n.k nikachoma sindano kadhaa za vitamin b12 pamoja na vidonge ila mpaka leo maendeleo ni hafifu tu, leo nikaenda kucheki sukari pamoja na syphilis kwa mujibu wa dokta maana niliambiwa asilimia kubwa itakuwa ni sukari ila majibu yote hayo yamekuwa negative
Msaada kwenye hili tafadhali maana nahisi ni nerve damage somewhere ila sijui cause ndio inaniogopesha nahofia isije ikawa permanent hii feeling which is bad sana kwa upande wangu.