mzee wa mazabe
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 843
- 628
Tehe tehe tehe watu wanapata tabu sana na hizi smartphone wanaosema ni wachache sanaKumbe hata hizo zina tatizo? Nilidhani Tecno peke yake.
Tehe tehe tehe watu wanapata tabu sana na hizi smartphone wanaosema ni wachache sanaKumbe hata hizo zina tatizo? Nilidhani Tecno peke yake.
Kumbe hata hizo zina tatizo? Nilidhani Tecno peke yake.

bora ahamie kwenye brand pendwa( tecno)Basi hata tecno sio zote zenye tatizo.
Justification! justification! Njaa yako di ya bakhresa wewe una njaa mwenzako ana hamu ya togwa hajalionja miaka mingi!Basi hata tecno sio zote zenye tatizo.
Kumbe hata hizo zina tatizo? Nilidhani Tecno peke yake.
kama sjakosea ni 480 kwa simu za full HDNikisha download naset kitu gani mkuu?au naandika kitu gani hapo kwenye setting
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha thanks mkuuu imekubali kwa 480.kumbe ilijiweka 320.nikaweka 480 then nikaaply na kureboot kitu kikakubalii. asanteeeeeeeeeeeeee sana mkuukama sjakosea ni 480 kwa simu za full HD
Zina matatizo lakini yanataturika hata ukigoogle unapata msaada haraka kwenye forums kuliko tecno unagoogle unaambulia patupu.bora ahamie kwenye brand pendwa( tecno)
brain is the beautiful part of the body.