Msaada wa haraka

Msaada wa haraka

mkuu kwani wewe una umri gani je uyu manzi wako?....
 
ni kwenda kwao kujitambulisha,ila sasa hataki kwenda huku akiwa mjamzito

Hoja yake ni ya kipuuzi... nadhani unatakiwa uwe mkali hapo kama mwanaume. Mwambie atake asitake, kwake mnaenda. Kama anabisha unatafuta namba ya mama/shangazi yake unamwambia kuwa wewe na mwanae mnatarajia kupata mtoto...
 
huyo dada mbona hasomeki,ashukuru upo pamoja nae na umeukubali ujauzito.kama anajiona amekosea kwenda kwa wazazi na ujauzito,kama wazazi wapo understanding watamuelewa,yeye sio mtoto na upo tayari kumuoa,komaa nae hiyo mimba asiitoe,yaani mtu ajiue kwa sababu ya mimba.mbona huyo dada hayupo strong hivyo?wewe cha kufanya kama unamfahamu ndugu yake yoyote muelezee ili maybe awe na mtu mwengine wa kumshauri na sio wewe peke yako.maybe itasaidia
 
Majaribu hayo mkuu... Mwambie unampenda sana, lakini unampenda sana mwanao mtarajiwa pia. Mwambie hauko tayari kwa namna yeyote kushiriki kumuua mwanao. Mwambie akijaribu kufanya abortion ajue amekupoteza na wewe...

thanx kwa ushauri mkuu
 
Hoja yake ni ya kipuuzi... nadhani unatakiwa uwe mkali hapo kama mwanaume. Mwambie atake asitake, kwake mnaenda. Kama anabisha unatafuta namba ya mama/shangazi yake unamwambia kuwa wewe na mwanae mnatarajia kupata mtoto...

kweli kabisa usemayo lazima awe strong hapo sipakulegea kabisa kama kweli anakupenda kwa dhati lazima akusikilize kama ni mchezo mmeshaufanya tena bila tahadhari yoyote so hapo ni ndoa tu kama nimasherehe makubwa mtayafanya mtoto akishakua!komaa hakuna kutoa ndio utajua kipimo cha upendo wake kwako
 
huyo dada mbona hasomeki,ashukuru upo pamoja nae na umeukubali ujauzito.kama anajiona amekosea kwenda kwa wazazi na ujauzito,kama wazazi wapo understanding watamuelewa,yeye sio mtoto na upo tayari kumuoa,komaa nae hiyo mimba asiitoe,yaani mtu ajiue kwa sababu ya mimba.mbona huyo dada hayupo strong hivyo?wewe cha kufanya kama unamfahamu ndugu yake yoyote muelezee ili maybe awe na mtu mwengine wa kumshauri na sio wewe peke yako.maybe itasaidia

thanx sana,maana nashindwa kuelewa,aibu ndio tatizo kwake
 
Mkuu asikuumishe kichwa bureeee!
Kama intension njema umeshamuonesha ya kutosha!
...
HUYO HATAKI KUZAA TU!!!!!
Embu jiulize:
ni tamaduni gani haurusu mimba kabla ya ndoa na tamaduni hiyo hiyo inaruhusu kuishi pamoja ke na me kama mke na mume?
Ikiwa kuishi na wewe kajiiba tu/kavunja tamaduni za kwao, kwa nini ashindwe na hili la ujauzito?
Hivi anakuambia tamaduni zao zinaruhusu abortion?????
...
Jembe kaza! Foka! Mwaga logic!
...
Hawa ke ukiruhusu muishi wanavyotaka wao tu, unaambulia Majuto tu!
...
Take care! hapana ruhusu toto yako itoke mle!!

hataki na mimi nipo tayari na ujue tunaishi pamoja mpaka sasa
 
kasema anataka kuitoa,nisipomsaidia katika hilo zoezi atajiua,na hawezi kwenda peke yake mpaka na mimi niwe nae wakati zoezi linaendelea,nimetingwa hapa nilipo vyote hataki

Jamani huyo dada sasa anataka nini!!!!!ukipanda mahindi usitegemee kuvuna ulezi

hayo ndio matokeo yake yenyewe.....hapo aface consequence tu....kutoa Mimba yaani

simshauri hata.....siku moja atakuja kurealise ni mistake kubwa kafanya maishan kwake.....

yaani nashindwa hata kumpatia picha
 
thanx mkuu ujauzito ni wa miezi miwili,tatizo anasema bado mapema kwenda kwao,nilimshauri kwa nini tusiende hata kwa wazazi?ili mambo mengine yafuate?yote hataki

Hataki ndoa huyo....
 
huyo dada mbona hasomeki,ashukuru upo pamoja nae na umeukubali ujauzito.kama anajiona amekosea kwenda kwa wazazi na ujauzito,kama wazazi wapo understanding watamuelewa,yeye sio mtoto na upo tayari kumuoa,komaa nae hiyo mimba asiitoe,yaani mtu ajiue kwa sababu ya mimba.mbona huyo dada hayupo strong hivyo?wewe cha kufanya kama unamfahamu ndugu yake yoyote muelezee ili maybe awe na mtu mwengine wa kumshauri na sio wewe peke yako.maybe itasaidia

yaani hiko ndio ashukuru wangapi wanapata hizo mimba za kwenye Majani na vijana wao

ndio wanawakana au kuwa mstari wa mbele kuwaambia wakatoe....kapata mtu anaeonesha support sijui

anataka nini.....aibu kila mtu anadhaniaga ni aibu fedheha watanionaje.....lakin fedheha ya kuua hiko

kiumbe je.....unawaza kuhusu wengine watanionaje watanifikiriaje na kusahau this is all about you...

mi sielewagi nikisikia mtu anataka kutoa mimba nakasirikaga sana...kaka angu naomba msifanye hiko kitu
 
Du! nilifikiri kapata ujauzito wa mwanaume mwingine!
 
yaani hiko ndio ashukuru wangapi wanapata hizo mimba za kwenye Majani na vijana wao

ndio wanawakana au kuwa mstari wa mbele kuwaambia wakatoe....kapata mtu anaeonesha support sijui

anataka nini.....aibu kila mtu anadhaniaga ni aibu fedheha watanionaje.....lakin fedheha ya kuua hiko

kiumbe je.....unawaza kuhusu wengine watanionaje watanifikiriaje na kusahau this is all about you...

mi sielewagi nikisikia mtu anataka kutoa mimba nakasirikaga sana...kaka angu naomba msifanye hiko kitu

najaribu kumwambia anasema atafanya mbinu zozote atatoa,akipata matatizo mi si ntawajibika na ntaonekana vipi kwa wazazi wake?
 
Ngosha acha ufala kuwa mtoto wa kiume.
Huyu mchumba siyo mtoto wa secondary kiasi kwamba utakuwa umevunja sheria za nchi kwa kumpa mimba,kama unafanya kazi na yeye anafanya kazi tatizo liko wapi mpaka anataka kutoa mimba. jiulize haya maswali
  1. Mana haja ya ndoa kama mtoto wenu mutakuwa mumeamua kumtupa chooni?
  2. Kuwa mtoto wa kwanza kunahusiana nini na kutoa mimba?
  3. Kwani wewe umegoma kumuoa mpaka anataka kuitoa?
  4. Je akitoa hiyo mimba halafu kizazi kiharibike baadae utamulilia nani kwa kukosa mtoto?
  5. Kwanini hataki muende kwa wazazi wake?yeye ndo mtu wa kwanza kupata mimba haoa duniani?
  6. Aibu mana yake ni kama wewe ungekuwa umekimbia na akabaki mwenyewe akilea mtoto ndo ingekuwa aibu kwa wazazi wake.
Baada ya kujiuliza hayo maswali utapata majibu,lakini kwa analysis ndogo tu inaonyesha hiyo mimba siyo ya kwako kabisa,sasa anaogopa kama mtoto akizaliwa halafu akawa wa kiarabu anajua itakuwa aibu ya mwaka...ndo mana anakomaa atoe ili aepuke huo mkenge.
Kijana hakuna msichana ambae anampenda mvulana ili awe mume wake wa baadae halafu akatoa mimba,maana hapa dsm kwa sasa kupata mimba ndo kigezo cha kuolewa sasa nashangaa huyu wa kwako anaenda kinyume.
Kila la kheri kaka.
 
mshawishi mfunge ndoa, kutoa mimba ni hatari je akifa uwaeleza nini wazazi wake.
 
najaribu kumwambia anasema atafanya mbinu zozote atatoa,akipata matatizo mi si ntawajibika na ntaonekana vipi kwa wazazi wake?

mwambie ukitoa mi na wewe basi....though siez jua natue ya mapenzi yenu......

ila huyo bidada ana lake jambo tu...sio bure
 
boss hiyo kitu ni yangu kabisa,na naijua mpaka siku inaingia wala sikutanii,na tunaaminiana sana,tatizo anasema aibu kwao,sijui niwasiliane na wazazi wake maana tukio la kutoa mimba,sio ishu kabisa

:tape:...............................!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom