Msaada wa haraka

Msaada wa haraka

ngosha unauhakika mimba yako??jamaniii kila nikiclick naona huyo dada hana hoja zaidi ya madudu tu.Boss inaweza ikawa si yako anaona dawa ni kuitoa mimba tu sababu kama ndoa upo tayari,kulea mtoto mpo tayari na kikubwa mnaishi pamoja aibu ya kuishi na mwanaume bila ndoa haioni ila anaiona ya mtoto mweeee

boss hiyo kitu ni yangu kabisa,na naijua mpaka siku inaingia wala sikutanii,na tunaaminiana sana,tatizo anasema aibu kwao,sijui niwasiliane na wazazi wake maana tukio la kutoa mimba,sio ishu kabisa
 
thanx kwa ushauri,nimemwambia kasema bora anywe sumu afe kuliko kupeleka aibu nyumbani,kwa kuwa ye ni mtoto wa kwanza na sababu zingine,ni bora mimi ningekuwa nimekataa
hapana kuna kitu anaficha..........si bure kuna kitu.......kama anafwata maadili asingekubali kuishi na wewe kabla ya ndoa.....
 
he makubwa poleee ngosha wa watu kwa yanayokukuta ndoa hataki,mimba bila ndoa anadai unamtia aibu kwao at the same time mnaishi kinyumba.Jamaniii wonders shall never end watu8 njoo uone makubwa mengine sasa huyo mama kijacho umemuuliza anataka nini ndo kakujibu anataka kujiua?

Yani ata mi kaniacha hoi isijekua kuna mengineyo mmh sasa msaada hapa sijui unaanzia wapi naona kila sehem kikwazo
 
Last edited by a moderator:
hapana kuna kitu anaficha..........si bure kuna kitu.......kama anafwata maadili asingekubali kuishi na wewe kabla ya ndoa.....

tatizo mpaka sasa sijui nifanye nini,maana nikimuambia kuhusu kuiacha anakuwa mkali na maelewano hayapo,
 
Yani ata mi kaniacha hoi isijekua kuna mengineyo mmh sasa msaada hapa sijui unaanzia wapi naona kila sehem kikwazo

mim hata kama sio ya kwangu ngoja tu nilee kuliko kuitoa na kuua kiumbe,hapa nilipo mpaka chozi linanitoka
 
na kwa kuongezea hapo mwaka huu wengi wamefariki kwa kutoa mimba wengi sana naowajua au wengine wanatibua magonjwa especially VVU vilivyolala[/QUOTE

Mungu kawalipa sawasawa na matendo yao....na hapo kujitafutia ugumba wa kujitakia.....
 
mim hata kama sio ya kwangu ngoja tu nilee kuliko kuitoa na kuua kiumbe,hapa nilipo mpaka chozi linanitoka
mim swala la kutoa mimba linaniuma sana........waeleze wazazi wako hali halisi ilivyo.....mkajitambulishe kilazima huyo binti akitaka kujiua ajiue au atoe mimba lakini wazazi wote wakiwa wanajua......
 
mimi nipo tayari kufuata taratibu zote za ndoa,mara anasema nimeanza kazi juzi ntaonekana vipi kazini,nimetingwa hata sijui cha kufanya

Hapo huna chako ndugu, chapa mwendo. Kama kweli hataki mkajitambulishe na mfunge ndoa huyo ana ajenda ya siri! La msingi washirikishe wazazi wako na ndugu za hao binti.

Kisha mpe msimamo wako kwamba hauko tayari kumpa ushirikiano kwenye kuitoa hiyo mimba.
 
Hapo huna chako ndugu, chapa mwendo. Kama kweli hataki mkajitambulishe na mfunge ndoa huyo ana ajenda ya siri! La msingi washirikishe wazazi wako na ndugu za hao binti.

Kisha mpe msimamo wako kwamba hauko tayari kumpa ushirikiano kwenye kuitoa hiyo mimba.

thanx maana kuitoa bila wazazi kujua ni kujitafutia matatizo kabisa
 
mim hata kama sio ya kwangu ngoja tu nilee kuliko kuitoa na kuua kiumbe,hapa nilipo mpaka chozi linanitoka
Aise pole sana ndugu sina hakika kama huo mpango wakutishia kujiua nikweli au nikukuseti ukubali kuitoa ila msihi sana aondoe dhana yake hiyo yakutaka kujiua,jaribu kumueleza hivi aibu nikitu chakupita tu na binadamu wote tumeumbwa kufanya makosa!angalizo japo kumchunga huwezi angalia asije kuitoa kwa njia zake
 
thanx maana kuitoa bila wazazi kujua ni kujitafutia matatizo kabisa

fanya hvyo asije akakufia sasa sijui utawaelezaje hao wazazi......fanya haraka uwashirikishe wazazi mana uwezi jua anachowaza asije akanywa sumu akakufia gheto.....
 
Asije kutoa hio mimba!muoe tu azae..kwanini hamkutumia kinga?kama mpaka mnaishi pamoja mlikuwa na matarajio gani?
 
fanya hvyo asije akakufia sasa sijui utawaelezaje hao wazazi......fanya haraka uwashirikishe wazazi mana uwezi jua anachowaza asije akanywa sumu akakufia gheto.....

nashindwa nitumie mbinu gani maana nao wapo mbali nasi,na niwaelezeje?
 
Asije kutoa hio mimba!muoe tu azae..kwanini hamkutumia kinga?kama mpaka mnaishi pamoja mlikuwa na matarajio gani?
ni kwenda kwao kujitambulisha,ila sasa hataki kwenda huku akiwa mjamzito
 
Kuna uwezekano mkubwa mko wawili na huyo mume mwenzio atakuwa hayupo muda mrefu sasa anadata kila akiwaza siku huyo jamaa mwingine atakaporudi...Sina nia mbaya we chunguza utabaini

poa mkuu ngoja nijaribu kuchunguza
 
thanx mkuu ujauzito ni wa miezi miwili,tatizo anasema bado mapema kwenda kwao,nilimshauri kwa nini tusiende hata kwa wazazi?ili mambo mengine yafuate?yote hataki

Majaribu hayo mkuu... Mwambie unampenda sana, lakini unampenda sana mwanao mtarajiwa pia. Mwambie hauko tayari kwa namna yeyote kushiriki kumuua mwanao. Mwambie akijaribu kufanya abortion ajue amekupoteza na wewe...
 
ni kwenda kwao kujitambulisha,ila sasa hataki kwenda huku akiwa mjamzito
Sasa hivi anachotaka hakina umuhimu kwasababu mnavyoendelea kusubiri ndivyo mimba inakuwa kubwa na tumbo linaonekana!Maji ndo yameshamwagika hayazoleki...angekuwa hamtaki yote hayo mngekuwa makini tangia mwanzo!what is done is done you should just make the best out of it!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom