umempenda sana zaid ya akupendavyo yeye,usiforce ndoa kaka kwa mtu asiye tayari.kuna hiv upande wake(kwa huyo dem)
1.hiyo mimba yawezekana c yako.
2.yawezekana ikawa mimba yako but hataki ndoa na wewe.
3.hajakupenda kwa dhat.
USHAURI:usilazimishe mtu akupende au ucpende pasipo pendeka utakuja kuumia mwenyewe.ukweli kaka huyo demu anaogopa kwakuwa umekufa na kuoza kwake.
ANGALIZO:akijakuambia ukweli kuwa hakupend na hayupo tayar kuwa mkeo tafadhar uje fasta tunakusubir hapa jamvin tukukumbush