thanx mkuu ujauzito ni wa miezi miwili,tatizo anasema bado mapema kwenda kwao,nilimshauri kwa nini tusiende hata kwa wazazi?ili mambo mengine yafuate?yote hataki
we ni mwanaume nakushauri utumie akili kumshawishi mfunge ndoa mapema ili kunusuru hali hiyo na pia msije mkawaza kutoa mimba!!!!!
dah! Pole xana kaka kikubwa ninachokushauli mshilikishe mungu ktk hili naamini atalidhia kuitwa mama kwaxaxa na ndoa mtafunga hayo nimajalibu yashetani 2.
Mwenzako anatatizo la kisaikolojia maswali yote anajiuliza ni kama under 18 ,mpeleke wa washauri maana hajitambui bado! na hayuko responsible kwa maisha yake na maamuzi yake .narudia tena mpeleke kwa washauri wamsaidie kujitambua. Hilo tatizo dogo
he makubwa poleee ngosha wa watu kwa yanayokukuta ndoa hataki,mimba bila ndoa anadai unamtia aibu kwao at the same time mnaishi kinyumba.Jamaniii wonders shall never end watu8 njoo uone makubwa mengine sasa huyo mama kijacho umemuuliza anataka nini ndo kakujibu anataka kujiua?
thanx mkuu ujauzito ni wa miezi miwili,tatizo anasema bado mapema kwenda kwao,nilimshauri kwa nini tusiende hata kwa wazazi?ili mambo mengine yafuate?yote hataki
msimamo wake wa sasa kama sitaki kushiriki kuitoa ni bora tuachane tu
Mimi na mpenzi wote ni
wafanyakazi kabla hatujaenda kwa wazazi kujitambulisha,imetokea mpenzi
wangu kapata ujauzito,na anasema hayupo tayari kuzaa kwa sasa,sababu
kubwa kwao ni mtoto wa kwanza na itakuwa aibu kuwa na mtoto kabla ya
ndoa,analia kila muda na amani haipo kabisa,nashindwa nifanyeje na mimi
sina tatizo kuhusu huo ujauzito,hapa nilipo nimetingwa,maana anasema ni
bora anywe sumu tu afe,msaada ushauri wenu kwa hili tatizo
Mimi na mpenzi wote ni wafanyakazi kabla hatujaenda kwa wazazi kujitambulisha,imetokea mpenzi wangu kapata ujauzito,na anasema hayupo tayari kuzaa kwa sasa,sababu kubwa kwao ni mtoto wa kwanza na itakuwa aibu kuwa na mtoto kabla ya ndoa,analia kila muda na amani haipo kabisa,nashindwa nifanyeje na mimi sina tatizo kuhusu huo ujauzito,hapa nilipo nimetingwa,maana anasema ni bora anywe sumu tu afe,msaada ushauri wenu kwa hili tatizo
Huyo binti anamatatizo tena makubwa, hataki kuolewa huku mnaishi pamoja anaona raha kumegwa tu, mwambie akatoe halafu uendelee kumega tena mpeleke akatoe ili asije akakufia bure,. angekuwa anaheshimu familia yake na yeye anajiheshimu angethubutu kuishi na mwanaume kabla ya ndoa?! huyu ni msaniihataki na mimi nipo tayari na ujue tunaishi pamoja mpaka sasa