runtown
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 844
- 1,169
Habari za mida hi wanajukwaa
Naaandika uzi huu nikiwa na majonzi tele nikiwa sina ata chembe ya usingizi.
Ipo hivi kuna mpnzi wangu nimedate nae takribani mwaka mmoja sasa hapa juzi kati nikawa naenda kwenye mishe mishe za kutafuta nikaona kwakua tunaaminiana nikamuachia cad yangu ya bank(hajui no ya siri) ikiwa ni pamoja na kitechno changu cha tachi.
Sasa leo nikiwa nipo kwe mihangaiko ya kuchuma ili baadae nije kula nae ile kumchek asubui akawa hajibu txt nikaona labda atakua kaingiwa na pepo. Baadae akaja akapiga lakin hakua yeye alikua mwanae ( mtoto wa dada ake) akawa ananiambia kua mama mdogo kapelekwa polis kisa cad yangu ya bank pamoja na smatphone nilompa akanisisitizia kua endapo nikipigiwa na no ngeni nisipokee.
Basi maongezi yakaishia apo kwa maana na yeye alijiiba pasipo kujilikana ili anipe taarifa na alompeleka uko polis sio.dada ake bali ni shemegi ake.
Sasa nawaza mtt wa watu anateseka bila kosa lolote na aliapa hatosema mimi ni nan ata ikiwaje sasa apa namaswali kadhaa kichwan
1.je kuwa na cad ya benki ni kosa ambalo mzazi anaeza kupeleka nalo polis au huyo shemeg ake hampend?
2.je dada ake karidhia kupelekwa kwake polis au nae kakubali kisa mme wake kaongea
3.je ni fact zip nazoweza kuenda nazo polis kujitetea ili nimtoe dem wangu hatian na mm pia nitoke. Kama ikifel atoke wa kike nibaki mimi kidume
Nawasilisha wadau naomba msaada wenu wa mawazo maana asubui nataka nijitoe ufaham nitimbe central
Mods naombeni wekeni huu uzi kwenye jukwaa husika. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Naaandika uzi huu nikiwa na majonzi tele nikiwa sina ata chembe ya usingizi.
Ipo hivi kuna mpnzi wangu nimedate nae takribani mwaka mmoja sasa hapa juzi kati nikawa naenda kwenye mishe mishe za kutafuta nikaona kwakua tunaaminiana nikamuachia cad yangu ya bank(hajui no ya siri) ikiwa ni pamoja na kitechno changu cha tachi.
Sasa leo nikiwa nipo kwe mihangaiko ya kuchuma ili baadae nije kula nae ile kumchek asubui akawa hajibu txt nikaona labda atakua kaingiwa na pepo. Baadae akaja akapiga lakin hakua yeye alikua mwanae ( mtoto wa dada ake) akawa ananiambia kua mama mdogo kapelekwa polis kisa cad yangu ya bank pamoja na smatphone nilompa akanisisitizia kua endapo nikipigiwa na no ngeni nisipokee.
Basi maongezi yakaishia apo kwa maana na yeye alijiiba pasipo kujilikana ili anipe taarifa na alompeleka uko polis sio.dada ake bali ni shemegi ake.
Sasa nawaza mtt wa watu anateseka bila kosa lolote na aliapa hatosema mimi ni nan ata ikiwaje sasa apa namaswali kadhaa kichwan
1.je kuwa na cad ya benki ni kosa ambalo mzazi anaeza kupeleka nalo polis au huyo shemeg ake hampend?
2.je dada ake karidhia kupelekwa kwake polis au nae kakubali kisa mme wake kaongea
3.je ni fact zip nazoweza kuenda nazo polis kujitetea ili nimtoe dem wangu hatian na mm pia nitoke. Kama ikifel atoke wa kike nibaki mimi kidume
Nawasilisha wadau naomba msaada wenu wa mawazo maana asubui nataka nijitoe ufaham nitimbe central
Mods naombeni wekeni huu uzi kwenye jukwaa husika. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app