Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 325
- 372
Mdogo wangu sikuwai kumsikia anasumbuliwa na UTI hata siku moja!!haya maswala ya UTI na govi..ni wewe tu na usafi wako?!!na mdogo wangu nilimtahiri akiwa amemaliza diploma Mwaka uliopita wa KOMBE la DUNI!! akiwa na miaka 24!??na alipona ndani ya siku 25 tu kidonda chote kikaponaa!!!chaajabu leo hii UTI ndio imeanza kumsumbua baada ya kukatwa gv??
Mkuu hii uliyoleta ni chai kabisa, kibamia na kuwahi kutahiri kunahusiana nn?.
Tena sasa hv govi linapigwa vita sana kwa sababu linasababisha maradhi mbalimbali kwa mtoto hasa hasa UTI,