VodaHuu mtandao gan
Sawa. Ni msaada tuu..Na huu ukifutwa uandike tena!
Ila mtoa mada ni mdau mkubwa wa kubet,,
Njoo kule kwa wazee wa mikeka kuna wadau
Maisha sio rahisi kiasi hicho.
Kila mmoja humu ndani anashida zake tena wengine humu wanashida kubwa sana kuliko hiyo yako.
Pole, mwanamke wa wapi huyo mnyama hivyo. Duhh. naona umesema MbeyaWife kanikimbia kakomba kila kitu,ndani
Mpaka pesa niliyo kuwa naiweka ndani kaondoka nayo nayo,kaniachia mtoto.
Hivi nahitaji kupata kiasi hicho ili niweze mpeleka mtoto kwa bibi yake mbeya.
Na duka pia kaondoka nalo?Nilikuwa na duka la bidhaa za matumizi ya kawaida ya nyumbani,
Ahsante
Pole Sana imekuaje hadi akakukimbia? Samahani Nahuyo wife wako nikabila gani? Mbona kakurudisha nyuma sanaNi kwa Mara ya kwanza naomba msaada humu jf,
Nina shida na 200000.
Maana Niko pabaya, kwa ambaye yupo tayari kunisaidia Tafadhali, anisaidie, nitamrudishia.
Msaada jamani watanzania wenzangu,
Hili tatizo linaniumiza kuisha kwake ni mpka nipate hiyo fedha,
Ubarikiwe
Namba;0746901701
Ahsanteni
wakuu nimepata watu wakunisaidia kwa hili suala,
Tafadhali usitume kiasi chako cha pesa,
Ahsanteni sana kwa ushauri
Mungu awabariki
Hongera mshukuru MunguAhsanteni.. JF inasaidia saana.
Nimepata watu wakunisaidia kwa hili.
Tafadhali usitume mchango
Wewe si unasema umekufa ‘died’Ni kwa Mara ya kwanza naomba msaada humu jf,
Nina shida na 200000.
Maana Niko pabaya, kwa ambaye yupo tayari kunisaidia Tafadhali, anisaidie, nitamrudishia.
Msaada jamani watanzania wenzangu,
Hili tatizo linaniumiza kuisha kwake ni mpka nipate hiyo fedha,
Ubarikiwe
Namba;0746901701
Ahsanteni
wakuu nimepata watu wakunisaidia kwa hili suala,
Tafadhali usitume kiasi chako cha pesa,
Ahsanteni sana kwa ushauri
Mungu awabariki
Jf INA watu wema mnoo, mimi sijawahi kutana na MTU mbaya humuAhsanteni kwa yote
Shukrani
Nimepata ufumbuzi