- Thread starter
- #21
Ahsante kwa ushauri,~ wadau wana majibu unabaki kucheka,pole mkuu tafuta MTU wa mtaani kwako akusaidie au fika katika nyumba za ibada kwa imani yako wakuchangie utatue tatizo.mungu akufanyie wepesi insha Allah.
Ahsante kwa ushauri,~ wadau wana majibu unabaki kucheka,pole mkuu tafuta MTU wa mtaani kwako akusaidie au fika katika nyumba za ibada kwa imani yako wakuchangie utatue tatizo.mungu akufanyie wepesi insha Allah.
Hapa inabidi ninunue vyakula vya kumuachia mama na niache pesa inayobaki, siwezi kwenda kumuweka mtoto kwa mama mikono mitupu wakati yeye ndiye aliyekuwa ananitegemea Mimi, imenibidi niache pesa walau auze hata nyanya wakati Mimi napambana.ni kutokea nguruka mpka mbeya
Ameondoka na kila kitu kilichokuwa ndani kaacha baadhi ya nguo zangu,Huyo mtoto mwache aendelee na masomo, kama ni mdogo sana basi mhifadhi kwa majirani tu kwa muda.
Unaposema mkeo amekomba ‘kila kitu’ una maana gani.?
Sawa....inawezekana ni kwel...lakn hii njia uliyotumia...oky jamani mwenzetu anaomba msaada wa haraka..kutoa si utajiri kutoa ni moyoNisamehe mkuu,
Mpka mtu anafikia hatua ya kuomba msaada ujue yamemfika,
Mimi si kama ufikriavyo,
Sikupenda kufanya hivi,ila imenilazimu Leo kudhalilika hivi
Anataka ya kwenda na kurudi, na ya kula njiani... utasema anaenda kwenye sherehe.
Amebebaje Dressing Table sizito lile.Ameondoka na kila kitu kilichokuwa ndani kaacha baadhi ya nguo zangu,
Amebebaje Dressing Table sizito lile.
Swal jingine kwa nini unajiita Died. Kwan maana ya died nini kinyakyusa wajameniAmeondoka na kila kitu kilichokuwa ndani kaacha baadhi ya nguo zangu,
Si kwamba hawezi kula kabisa ila nikwasababu ya mtoto kwa kipindi hicho malezi ya mama yalikuwa juu Yangu.Kwahiyo sisi tukuchangie hadi pesa ya kwenda kumpa mama yako, siku zote yeye amekuwa akiishi bila kula... kama amekuwa akikutegemea na huwa unamtumia mahitaji mbona unahofia hana chakula..!!
Ahsante kwa ushauriBwashee hauko siriazi, kama ni lazima kwenda basi punguza ‘sifuri’ moja hapo ili upande lori au magazeti chap kidogo... mambo ya chakula bibi yake anajua venye atafanya.
Wife kabeba na nguo za mtoto aisee?!Ameondoka na kila kitu kilichokuwa ndani kaacha baadhi ya nguo zangu,
Si kwamba hawezi kula kabisa ila nikwasababu ya mtoto kwa kipindi hicho malezi ya mama yalikuwa juu Yangu.
Mimi ndiye niliye kuwa namuwezesha.
Mimi si mnyakyusa,,Swal jingine kwa nini unajiita Died. Kwan maana ya died nini kinyakyusa wajameni
Halina shida sawa ila tunataka kujiaminisha kama tunachati na aliyekufa kweli au died maanake ni nini.Mimi si mnyakyusa,,
Jina halina shida yoyote
Nilikuwa na duka la bidhaa za matumizi ya kawaida ya nyumbani,Kwani ulikuwa unafanya kazi gani ya kukuingizia kipato. Huna marafiki kwenye hizo shughuli zako wakakuazima.
BTW, pole kwa masaibu yaliyokupata