Msaada wa haraka unahitajika

Msaada wa haraka unahitajika

Status
Not open for further replies.
Msiwe na roho mbaya enyi walimwengu kama unaweza msaidia basi toa msaada upite uende huyu nae ni mwanadamu anapokwama ni sawa kabisa kuja hapa madhabahuni kuomba msaada tuwe waungwana.
Watu 40,mkimchangia 10,000 kila m'moja atapata hilo hitaji lake hebu tuwage na huruma muda mwingine.
Anajiendekeza tu.
Kuna watu wanashida tena shida haswa hiyo ya kwake cha mtoto.
 
S
Halina shida sawa ila tunataka kujiaminisha kama tunachati na aliyekufa kweli au died maanake ni nini.

Usihoji kwa kejeli wakati hatawewe
Umeandika jina lisilo lako.
Ukiwa unania ya kunisaidia ungeweza ni pm afu ungehitaji details zangu halisi,
 
Kwani saivi kumwezesha kumekoma.?

Hujapoteza kitu, hizo ‘pesa’ zilizokuwa ndani haziwezi kuwa nyingi mno... endelea kupambana na kumsaidia mama na mwanao.

Mkeo atarudi baada ya muda si mrefu, kwani hujui sababu ya kukimbia.?
Khaa..angekuwa ke hapa angeshapewa hela..muoneeni huruma...na hayo ndo yanafanya mahusiano yawe more strong..bibie atarudi tu
 
Hivi nyie mnajua wanawake anabeba everything yaani anakuachia uwanja wa mpira tu mbk vest anakuvua hapo kashakuchoka.Msaidieni mwanaume mwenzenu jamani.Ningekua ht na elf10 ningekupa wallahi nafsi imeniuma km kweli hutudanganyi na km unadanganya Mungu atakulipa
 
Hivi nyie mnajua wanawake anabeba everything yaani anakuachia uwanja wa mpira tu mbk vest anakuvua hapo kashakuchoka.Msaidieni mwanaume mwenzenu jamani.Ningekua ht na elf10 ningekupa wallahi nafsi imeniuma km kweli hutudanganyi na km unadanganya Mungu atakulipa
Wanawake TUNAWEZA!😆
Died wewe weka namba wenye nacho watachanga![SUB]lakini inaonekana umepanic..huyo atarudi tu[/SUB]
 
Hivi nyie mnajua wanawake anabeba everything yaani anakuachia uwanja wa mpira tu mbk vest anakuvua hapo kashakuchoka.Msaidieni mwanaume mwenzenu jamani.Ningekua ht na elf10 ningekupa wallahi nafsi imeniuma km kweli hutudanganyi na km unadanganya Mungu atakulipa
Hakuna MTU aombaye matatizo ya mkute,

Kuongopa unaumwa wakati hauumwi ni kukaribisha rundo la maradhi kwako,

Naamini katika kutenda mema
 
Tatizo lako lipo reasonable, fanya hivi Mkuu weka namba ya simu hapa na pale jui kwenye mada tutakufanyia Fundraising Mimi binafsi sina kitu kabisa ila nitachanga 3000 Tzs.
 
Yani mwanaume mzima na una mtoto unaweka pesa zote ndani, hapo umedanganya hakuna mwanaume zuzu namna hiyo na kama ni kweli basi ni halali kabisa huyo wife akufanyie hicho alichochofanya maana kaona huna akili kabisa.
 
Yani mwanaume mzima na una mtoto unaweka pesa zote ndani, hapo umedanganya hakuna mwanaume zuzu namna hiyo na kama ni kweli basi ni halali kabisa huyo wife akufanyie hicho alichochofanya maana kaona huna akili kabisa.
Ahsante kwa somo lako,nimekuelewa...
 
Yani mwanaume mzima na una mtoto unaweka pesa zote ndani, hapo umedanganya hakuna mwanaume zuzu namna hiyo na kama ni kweli basi ni halali kabisa huyo wife akufanyie hicho alichochofanya maana kaona huna akili kabisa.


Hahhaa...kwakweli wanaume siku hizo hawaweki hela ndani...sijui "mnafiya"wapi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom