Msaada wa haraka unahitajika-Ubalozi wa Tanzania SOUTH SUDAN

Yaani umeeleza kiungwana
tatizo la mleta huyu mada. Huu ni ukumbi, kuna kila aina ya wasomaji,
kama anajuwa wapi kwa kupeleka hizo habari si angefanya hivyo? Umeleta
JF... Jieleze ueweleweke!
Nilikuwa natafuta cha kusema lakini najikuta presha
inanipanda....
inaonekana huyo jamaa anamajivuno'anajiona mwelewa kuliko wengine hapa Jf ..
 
Sio ujinga tu, ni upuuzi unamsumbua, na title yake aliyojipa hata kama kweli haiendani na maandishi yake..

hapa ni jf, tunapeana habari, huwezi kuanzia habari katikati eti kwa kudhani kila mtu anajua mwanzo wake.. nyie ndio mnajiita wasom.. si kila mtu yupo mjini au kila m2 ana'acess na radio au tv. wengne wanategemea simu na jf tui!

hopeless kabisa wewe!

NB: Mungu amsaidie huyo jamaa na wote wenye mkinzo wa hivyo!

Serikali imesikia.

sasa unashindwa kujua kitu kinachoingia siku ya nne dunia nzima vyombo vya habari vinaripoti .....
 
Tatizo siyo kutokusikiliza habari, huwezi kusikiliza habari zote na kuna wengine siyo wapenzi wa habari hilo lazima ulitambuwe, na hata tungekuwa tunajuwa nini kinaendelea huko S.Sudani bado hakuna tatizo kama wewe ungeandika habari katika ukamilifu wake. Usiwe mubishi tu ndugu yangu hatuendi hivyo mimi kwa mfano nipo huku Iraq hiyo taarifa ya habari ya Tz nitaisikia wapi?

Haya endelea na uzi wako mimi nimesharidhika na majibu yako.

dunia nzima vyombo vya habari vinaripoti ...we kuwa iraq haikuzuii habari hii ya dunia ambapo hata taifa lenye nguvu kama marekani rais wake ali address taifa lake itakuwa iraq?
 
dunia nzima vyombo vya habari vinaripoti ...we kuwa iraq haikuzuii habari hii ya dunia ambapo hata taifa lenye nguvu kama marekani rais wake ali address taifa lake itakuwa iraq?

Nisamehe basi ndugu yangu tuendelee na mambo mengine huu uzi mimi siuwezi tena.
 
dah....Glory to GOD. hali ni mbaya sana kule niliona ALJAZEERA. Obama nae kapeleka wanajeshi 45 kuondoa Wanaharakati kutoka marekani. Shukrani kwa updates
updates
asanteni kwa dua zenu wadau,Dr Naseeb,amefanikiwa kupata ndege na sasa amefika JUBA , sehemu ambako ni salama zaidi ya BOR.
mungu ni mwema kwa kweli.
 
Back
Top Bottom