Msaada wa haraka unahitajika-Ubalozi wa Tanzania SOUTH SUDAN

Ni ujinga unakusumbua. Shida sio kujua ni nini kinaendela S. Sudan. Shida ni wewe ulivyoelezea. Mbona hapa umeweza kuelezea vzr! Unapofanya kosa ni vizuri kukiri!

Sio ujinga tu, ni upuuzi unamsumbua, na title yake aliyojipa hata kama kweli haiendani na maandishi yake..

hapa ni jf, tunapeana habari, huwezi kuanzia habari katikati eti kwa kudhani kila mtu anajua mwanzo wake.. nyie ndio mnajiita wasom.. si kila mtu yupo mjini au kila m2 ana'acess na radio au tv. wengne wanategemea simu na jf tui!

hopeless kabisa wewe!

NB: Mungu amsaidie huyo jamaa na wote wenye mkinzo wa hivyo!

Serikali imesikia.
 
Sio ujinga tu, ni upuuzi
unamsumbua, na title yake aliyojipa hata kama kweli haiendani na
maandishi yake..

hapa ni jf, tunapeana habari, huwezi kuanzia habari katikati eti kwa
kudhani kila mtu anajua mwanzo wake.. nyie ndio mnajiita wasom.. si
kila mtu yupo mjini au kila m2 ana'acess na radio au tv. wengne
wanategemea simu na jf tui!

hopeless kabisa wewe!

NB: Mungu amsaidie huyo jamaa na wote wenye mkinzo wa hivyo!

Serikali imesikia.

kwani kila jambo lazima uchangie?toa mchango wako wa mawazo kwenye mada unazozielewa au uliza kwa heshima uambiwe.ucjifanye much knw...wakat mtu yupo kwenye shida unataka awe ana edit ili ufurah wewe,we nani?
 
tatizo ni kwamba watanzania hatusikilizi habari,wanaoelewa nini kinaendelea SOUTH SUDAN wanaelewa nini naongelea na ndio maana nikasema,kama huna msaada ni vyema ukakaa kimya tu yatosha.
tumesha pata watu wanaendelea kuwasiliana na ubalozi husika,nyie subirini post iwe edited.

Tatizo siyo kutokusikiliza habari, huwezi kusikiliza habari zote na kuna wengine siyo wapenzi wa habari hilo lazima ulitambuwe, na hata tungekuwa tunajuwa nini kinaendelea huko S.Sudani bado hakuna tatizo kama wewe ungeandika habari katika ukamilifu wake. Usiwe mubishi tu ndugu yangu hatuendi hivyo mimi kwa mfano nipo huku Iraq hiyo taarifa ya habari ya Tz nitaisikia wapi?

Haya endelea na uzi wako mimi nimesharidhika na majibu yako.
 
watu wapo vitani huko unafikiri mtu atakua na time ya kuremba mwandiko? Kwanza umeambiwa nchi iko offline pengine alikua anakimbizana na network je.....
 
Wadau this is serious, tusifanye utani.

Bungeni ilibidi waziri wa mambo ya nje aulizwe swali la dhararura kuhusu mkakati wa kuwasalimisha watanzania waliopo huko.

Sasa hivi watu wanajadili Majina yawatakao jaza nafasi za maWAZIRI walioachia ngazi,Hadi tuckie waTZ wte huko wamelipuliwa na maBOMU 2taunda TUME na SALAMU nyingi za Rambirambi hii ndo TZ!
 
Watu wanasikiliza bongofleva tu.... South Sudan kimenuka muda tu na sielewi mtu unashindwaje ku-connect title na alichoandika mtoa mada... mi nilielewa kabla hata sijafungua content yake, waganda na wakenya kule ndio kama kwao wamejazana mno tofauti na wabongo wapo kwa uchache... Serikali ifanye hima kuwarudisha maana inasemekana kuna uwezekano wa kutokea mauaji ya Kimbari
 
Hili jamaa l.iitoa mada bishi kama shi.pa hadi nasikia hasira.

Uapotaka kupoteza muda kwa habari iliyo wazi ni lazima utamwona mtoa mada ni mbishi,ila uelewe kuwa hatupo hapa kutoa elimu ya nini kinaendelea south sudani tupo hapa kutafuta uwezekano wa kusave maisha ya watu walionasa kati kati ya mapambano.
kwa kuwa huelewi nini kinaendelea huko,basi dua yako tu inatosha,kuwaombea salama ndugu zetu walioko huko
 
Dr. Batilda Burian ni balozi wetu Kenya na ndiye anawakilisha Sudani ya Kusini. Hatukuelewi kwani hatuna balozi kule.

Hata kama hatuna balozi huko,cha msingi ni ujumbe umefika kuwa tuna watanzania wapo bor,un camp na wanahitaji msaada,post imesomwa na watu wengi na watakuwa wamefikisha ujumbe kwa wanaohusika,kwani jina la mmoja wa wahanga nimeliweka hapo na sina shaka kuwa msaada utatolewa
 
Ni ujinga unakusumbua. Shida sio kujua ni nini kinaendela S. Sudan. Shida ni wewe ulivyoelezea. Mbona hapa umeweza kuelezea vzr! Unapofanya kosa ni vizuri kukiri!

kama huna msaada kaa kimya,wenye kutoa msaada wanaendelea kuwasiliana na wahusika,jitahidi kusoma na kuelewa,sio unakimbilia kutoa majibu uliyonayo kichwani,kichwa cha habari tu kilitosha kukufanya uelewe kama kweli ungetaka kuelewa,tunapenda sana habari za spoon feeding,hatutaki kuunganisha matukio na heading ya habari husika,endelea kusbiri,sisi tunazidi kufanya mawasiliano,utaendelea kubaki nyuma ukisubiri post ikuelekeze zaidi
 
Watu wanasikiliza bongofleva tu.... South Sudan kimenuka muda tu na sielewi mtu unashindwaje ku-connect title na alichoandika mtoa mada... mi nilielewa kabla hata sijafungua content yake, waganda na wakenya kule ndio kama kwao wamejazana mno tofauti na wabongo wapo kwa uchache... Serikali ifanye hima kuwarudisha maana inasemekana kuna uwezekano wa kutokea mauaji ya Kimbari

hahahaha
na ndio maana siku kikinuka bongo,tutapoteza wengi sana
 
Pimbi wewe Afisa gani balozi
hujui kinachoendelea duniani au ndo kazi za kupewa kindugu wakati
kichwani ni Zero kabisa unatia aibu bora ungekaa kimya badala ya
kuonyesha upumbavu wako

we kihiyo unasemaje..
 
hahahahaha
afisa ubalozi hujui BOR ni nini? mbona ni kichekesho,afisa ubalozi
huelewi nini kinaendelea ktk hii dunia,kwanini usiachie ngazi kama ni
hivyo?
umeshaelezwa toa taarifa sahihi huelewi bado unaleta ukilaza wako hapa..najua kinachoendelea dunian kuliko wewe uliyekurupuka shame on u
 
watu n wabishi.taarifa iliyotolewa mwanzo haikuwa na mwelekeo wa mtu kujua moja kwa moja nn kimetokea ama nn kinaendelea.mtoaji anadhan amewaandikia wahusika moja kwa moja,hajui kuna watu wana mambo yao mengine,afu anakazimisha kila mtu awe anajua kinachoendelea,
ndo tatizo la kujiona bora kuliko wengine!!,unaambiwa hujaeleweka we unabisha,unadhan kila wakat watu wapo mtandaoni ??,afu kunawatu wanamatatizo sana kuliko hayo yako
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom