Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 105
- 152
Habari zenu?
Kuna ndugu yangu alikuwa analinda shamba la mtu kwa muda wa zaidi ya miaka 10(bila malipo) mwenye samba ameshafariki.
Watoto wa mwenye shamba wanataka kumtoa kwa nguvu huyo ndugu yangu ambaye alikuwa anaishi hapo kwa miaka yote huku akiwa na familia yake hali kadhalika alipanda mazao ya kudumu kama michungwa,minazi nk kwa idhini ya mwenye shamba amabaye ameshafariki.
Watoto walitaka kumuondoa kwa nguvu mara kadhaa na kumuweka ndani/polisi bila mafanikio.
Jana walimkamata ndugu yangu na kumuweka kituo kikuu cha polisi(alipata dhamana jana usiku)
Leo hao watoto wa mwenye shamba wameleta vijana toka mtaani na kuja kuvunja vyumba na vibanda vote vya ndugu yangu hapo shambani huku mke na watoto vitu vikiwa nje hadi muda huu ambao giza linaingia.
Sasa mume yupo polisi mke na watoto wapo nje bila sehemu ya kulala.
Wenye mamlaka tunaomba msaada wa kupata haki ya ndugu yetu aliyopo mahabusu hadi muda huu.
Kwa mtu anayehitaji maelezo zaidi naomba aje PM nimpe namba.
Asanteni.
Kuna ndugu yangu alikuwa analinda shamba la mtu kwa muda wa zaidi ya miaka 10(bila malipo) mwenye samba ameshafariki.
Watoto wa mwenye shamba wanataka kumtoa kwa nguvu huyo ndugu yangu ambaye alikuwa anaishi hapo kwa miaka yote huku akiwa na familia yake hali kadhalika alipanda mazao ya kudumu kama michungwa,minazi nk kwa idhini ya mwenye shamba amabaye ameshafariki.
Watoto walitaka kumuondoa kwa nguvu mara kadhaa na kumuweka ndani/polisi bila mafanikio.
Jana walimkamata ndugu yangu na kumuweka kituo kikuu cha polisi(alipata dhamana jana usiku)
Leo hao watoto wa mwenye shamba wameleta vijana toka mtaani na kuja kuvunja vyumba na vibanda vote vya ndugu yangu hapo shambani huku mke na watoto vitu vikiwa nje hadi muda huu ambao giza linaingia.
Sasa mume yupo polisi mke na watoto wapo nje bila sehemu ya kulala.
Wenye mamlaka tunaomba msaada wa kupata haki ya ndugu yetu aliyopo mahabusu hadi muda huu.
Kwa mtu anayehitaji maelezo zaidi naomba aje PM nimpe namba.
Asanteni.