Msaada wa Haraka Tafadhali: Ungonjwa wa akili

nimekupata Alex The Great,

Dogo alifiwa na mama, sasa hakuweza kuvumilia hii issue. ilimwendesha saana.
Ni sahihi kabisa, ushauri wako naufanyia kazi.. naamini kuwa watu ndo wana majibu ya hili, hata Mungu anatumia watu.
Nalichukulian kwa uzito mkubwa.

Mshana Jr naomba tuwasiliane ukiiona hii post.

asante,

Yupo humu humu JF, mtafute.

Pia nimekupa ushauri toka moyoni, sio ufikiri nimekupa ushauuri kwa kejeli au masihara mkuu, nimesikitika sana yanayo/yaliomkuta mkuta kijana wako.

Kijana mwenye miaka 16 ni ngumu sana kupatwa msongo wa mawazo (stress), kichwa chake bado hakija komaa kuwaza majukumu/starehe/mapenzi. Labda kuwe na matatizo;

1) Nyumbani kuwe na matatizo makubwa ya kifamilia. (Ugomvi baina ya mama na baba kila kukicha au anateswa sana nyumbani kupelekea kuathirika kisaikolojia).

2) Anaonewa/kupigwa/kufanyiwa mambo yasio endana na umri wake, kama vile kuteswa/kuonewa/kunyanyaswa (Rafiki zake/mtu baki/ shule bila sababbu na anaogopa kukwambia). Kupelekea yanamuathiri kisaikolojia. Jaribu kupeleleza hili pia kwa undani zaidi.

3) Maswala ya kishirikina/uchawi/majini. Vitabu vya dini vimeyataja haya na vinayatambua kua yapo na yanadhuru binaadam.

Nawasilisha,
 
Tuko ki-IMANI zaidi. Tunajua litapita. Hata maombi anafanyiwa.

Asante Sky Eclat,

Inawezekana hata huko hawakumpa tiba sahihi. Magonjwa haya huhitaji hali ya utulivu na dose usiikose kila siku. Ubongo unavyofanya kazi ni kama waya umeme, matatizo huketa short. Dawa zinajenga taratibu sana short hii.
Ukiwa na mgonjwa inabidi uwe mvumilivu.
 
Inawezekana hata huko hawakumpa tiba sahihi. Magonjwa haya huhitaji hali ya utulivu na dose usiikose kila siku. Ubongo unavyofanya kazi ni kama waya umeme, matatizo huketa short. Dawa zinajenga taratibu sana short hii.
Ukiwa na mgonjwa inabidi uwe mvumilivu.


Sky, wewe ulipitia medicine??!, unavyodadavua!!!😁😁😁
 
Cariha,

macho ya kiroho ndo maombi/ibada? tunampekeka. asante.
Mupelekeni na huko ka ugonjwa wa kawaida unapona Ila wa mambo ya kiroho mnasumbuka kwa maombi. Kuna dada naye na mfahamu alikuwa anaumwa hivo hivo Ila akishapona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom