mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Wandugu waungwana
Siku za mbeleni niliplan kununua Video Camera latest aina ya Sony au Panasonic.
Sasa leo from no where kuna jamaa niko nae hapa na anauza Panasonic aina ni
Panasonic HDC-TM300,32GB,SD Card. FULL HIGH DEFINITION VIDEO CAMERA 1920x1080.
touch screen and built in memory.
Huyu jamaa bei yake ni laki 5 na anahitaji hii pesa as soon as i can give him maana kesho
ana safiri nje ya nchi. Je kwa nyie mnaoijua hii kitu ni kweli naweza kulipa laki 5 sasahivi?
Na dukani inauzwaje?....Naombeni msaada wenu please! nisije kutapeliwa usiku huu hapa mbele ya shemeji yenu.
Siku za mbeleni niliplan kununua Video Camera latest aina ya Sony au Panasonic.
Sasa leo from no where kuna jamaa niko nae hapa na anauza Panasonic aina ni
Panasonic HDC-TM300,32GB,SD Card. FULL HIGH DEFINITION VIDEO CAMERA 1920x1080.
touch screen and built in memory.
Huyu jamaa bei yake ni laki 5 na anahitaji hii pesa as soon as i can give him maana kesho
ana safiri nje ya nchi. Je kwa nyie mnaoijua hii kitu ni kweli naweza kulipa laki 5 sasahivi?
Na dukani inauzwaje?....Naombeni msaada wenu please! nisije kutapeliwa usiku huu hapa mbele ya shemeji yenu.