Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 11,925
- 36,839
dah piperazine+antibiotics=kifoTumia Piperazine au Ivermectin pamoja na Antibiotics
hakuna multiple therapy ya hivyo
Labda useme antibiotics+vitamins.
dah piperazine+antibiotics=kifoTumia Piperazine au Ivermectin pamoja na Antibiotics
je coccimed Plus inafaa?Tafta amproliuma
Hiyo ni folw typhoid tafuta antimicrobial drugs (Cipro )+vitaminNIMEANGAKLIA CHOO YAO INA DAMU NA RANGI YA NJANO, PLEASE NI DAWA GANI AU HIZO ZINAFAA KWA DALILI HIYO
sasa rafiki una bata kama 1,000 unaona wanaanza kufa si you raise alarm?Nimekuja mbio nikidhani kuna mtu anakata roho, kumbe Bata....🤨
Ila pole sana mkuu, ngoja waje wakupe muongozo.
coccimed _Plus inafaa?Hiyo ni folw typhoid tafuta antimicrobial drugs (Cipro )+vitamin
😀😀😀Mkuu unashtua watu...Ina maana ufugaji wako wote huna hata namba ya madaktari mifugo!!?? Mbona kama unatania!! Una umri gani??!!
achana na hiyo ni kwaajili ya kutibu coccidiosis tafuta fluroquinolone (Cipro) ndio drug of choicecoccimed _Plus inafaa?
Naunga mkono hoja mkuu....sasa rafiki una bata kama 1,000 unaona wanaanza kufa si you raise alarm?
Awape agrocox hiyo niliwapa kuku ndo kwanza waliendelea kuharisha hakuna aliyepona mpaka nilipobadilisha dawaachana na hiyo ni kwaajili ya kutibu coccidiosis tafuta fluroquinolone (Cipro) ndio drug of choice
Pole sana Ndugu, naomba uwapatie DCP hapo wana upungufu wa Calcium, changanya kwenye maji wanyweshe kwa kijiko mmoja mmoja kwa siku 3, baada ya hapo uwe unawachanganyia kwenye chakula chao na maji ya kunywa watapona, Ubarikiwe.Bata wanakosa nguvu na kukaa wanashindwa kula na within a short time wanakufa. tatizo ni nini na amtibabu yake ni dawa gani?
Daktari umemuona?Bata wanakosa nguvu na kukaa wanashindwa kula na within a short time wanakufa. tatizo ni nini na amtibabu yake ni dawa gani?