B51
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 569
- 781
Heshma yenu ndugu, nina safari ya kwenda Morogoro leo huenda nitaondoka kwa magari ya kuungaunga na ninaamini nitafika usiku.
Moro sipajui kiviiile, huwa napita tu nikienda Dom, natakiwa kuwepo mitaa ya jamhuri kesho asubuh hivyo nitafika usiku naamini. So naombeni mnijuze maeneo rafiki ninayoweza kupata guest za bei ya kawaida chini ya elfu15.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Moro sipajui kiviiile, huwa napita tu nikienda Dom, natakiwa kuwepo mitaa ya jamhuri kesho asubuh hivyo nitafika usiku naamini. So naombeni mnijuze maeneo rafiki ninayoweza kupata guest za bei ya kawaida chini ya elfu15.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app