tricecriss
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 225
- 59
- Thread starter
- #21
Miss bantu mwenye tumbo .linanikeraje!we ni miss bantu?
Miss bantu mwenye tumbo .linanikeraje!we ni miss bantu?
Nitajaribu kufanya hivyo wangu ila huku kwetu madereva wa boda boda kila kona si watanifyeka miguu!asanten nyote kwa ashauriIngia road mdada kimbia,jiwekee ratiba asubui na jion,baada ya mwezi utaona utavyobadilika,mazoezi ya kukimbia ni bora sana kwani unahusisha kila kiungo cha mwili wako.
last time i checked ilikuwa ni 50k...not sure of the price kwa sasa...
Ingia road mdada kimbia,jiwekee ratiba asubui na jion,baada ya mwezi utaona utavyobadilika,mazoezi ya kukimbia ni bora sana kwani unahusisha kila kiungo cha mwili wako.
Mkuu kwa sasa haipungui Elfu 70.
niulizeni mimi gym yenye mabebs wa ukwelilast time i checked ilikuwa ni 50k per month...not sure of the price kwa sasa...
Habarini zenu wana JF?
Jamani mimi tatizo langu ni kwamba najiona kama mambo kunako 6*6 yanaanza kunishinda kwa sababu ya uzito na nimekuwa tipwa tipwa sana kiasi cha kupoteza mvuto sasa nilikuwa maomba kama kuna mtu anafahamu gym yoyote iliyomaeneo ya sinza,kijitonyama au maeneo yote yanayonizunguka na gharama zake mimi naishi sinza white inn atakuwa amenisaidia sana,
natanguliza shukran
niulizeni mimi gym yenye mabebs wa ukweli
I want the diet ila sina motivation
Hivi ile gym iliyokuwa hapo Puma Gas Station ( Kijiweni) imefungwa...miaka hiyo naishi Sinza hapo Kijiwe kulikuwa na gym ya Fike...
Kumbe unamnyaka Fike Wilson? Jamaa alikuwa mshikaji wangu sana. Nimepiga sana nondo pale kwenye gym yake.
aisee yule ticha wangu wa gym kidogo ataingia line...jana nilimuambia mgongo umeteguka na kiuno anikande kande kakubali...teh teh,,,,ndege tunduniHaya hebu tueleze basi mbeb wa ukweli...hivi mtu akikumis anatakiwa afanyaje?
gym paMOJA NA KUKUFANYA FIT UNATENGENEZA SHAPE UTAKAVYO....MVUTO MUHIMU AU UNASEMAJE SUPER MBABY?Watanzania fitness IQ ni ndogo sana!!!!
aisee yule ticha wangu wa gym kidogo ataingia line...jana nilimuambia mgongo umeteguka na kiuno anikande kande kakubali...teh teh,,,,ndege tunduni
kwisha habari yangu au kwisha habari yake? Ni mzuri wewe yaani wewe cha mtoto!kidogo nitaanza kufaidi uumbaji wa mungu aisee...hahaha kwisha habari yako....
gym paMOJA NA KUKUFANYA FIT UNATENGENEZA SHAPE UTAKAVYO....MVUTO MUHIMU AU UNASEMAJE SUPER MBABY?
Nitajaribu kufanya hivyo wangu ila huku kwetu madereva wa boda boda kila kona si watanifyeka miguu!asanten nyote kwa ashauri