Ukishasema gari lina thamani ya milioni 15 Dar Port na lingine milioni 15 Nakonde, kumbuka lile la Dar limejumuisha gharama ya usafiri wa baharini. Hilo la Zambia milioni 15 ni thamani ya pale pale mpakani, na bado utalazimika kulisafirisha kuja Bongo na kulipia ushuru kulingana na misingi ya TRA inayoweza kuwa juu zaidi kwa magari yanayovuka mipakani ya nchi kavu bila nyaraka sahihi za mwanzo.