Swali hili ndo linasababisha medical anthropologist ngum kupata kaz. Watu wengi hawana uelew wa hii discipline. Hivyo vitu vinaenda sambamb yani ndio hiyo inautwa 'public health'
Ni kwa vipi social-cultural life inaathiri afya ya mtu!!? Na huyu mtu anaelew nini kuhus ugonjwa anaoumwa!!?
Dokta anajua dalili na kupima na kumpa daw mgonjwa Tu, mgonjwa anawez kuwa na mtazamo tofaut ingaw yupo zahanati kapimwa. Discipline hii hutumika kujua sabb z magonjw y mlipuko kukaa mda mref baadhi y maeneo na mda mfup maeneo mengine!. Shortly hat ugonjwa mpya kutafitiw chanzo,sabb na dalili zake wanafanya hiyo kaz hao watu