detha ernest
Member
- Mar 14, 2014
- 14
- 3
asanteni wote kwa ushauri leo nilimtembelea doctor wa wanawake na nikamweleza kila kitu akaniambia itakuwa appendex nimepatiwa dawa nimeambiwa nirudi next week.japo nashindwa kuelewa kama ni apendex kwanin niumie nikiwa period na nikimaliza tu