Jamani naomba msaada kwa anayejua,mimi nina tatizo la uvimbe kwenye kizazi nilijua hivyo baada ya kuwa nasikia maumivu kuanzia ninapoanza period mpaka namaliza nikaamua kwenda hospital ndio wakaniambia nina uvimbe ,niliandikiwa dawa nikamaliza lakini nikaendelea kusikia maumivu,nikaamua kutumia dawa za kichina hali ikawa ileile,nikapima tena hospitali nyingine bado uvimbe ulikuwepo nikaandikiwa dawa nyingine tena nikazimaliza lakini wapi nikarudi tena kupima wakasema hakuna uvimbe cha ajabu bado nasikia maumivu yani nikianza period mpaka namaliza na baada ya kumaliza kila nikienda kujisaidia haja ndogo nakuwa nasikia maumivu sana na yanaendelea kwa siku nzima mpaka nitumie dawa za maumivu na huwa inakuwa hivyo kwa week mbili tokea nianze period ,nimekuwa mtu wa dicloper sababu ndio pekee zinazonisaidia anayejua dawa plz naomba anisaidie