vallentino86
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 532
- 211
Habari zenu wadau wangu wote wa JF, natumaini wote ni wazima wa afya na familia zenu. Samahani kwa usumbufu wowote nitakaosababisha ila naomba msaada wenu ni jinsi gani nitaeza kulitambua betri orijino la Samsung Galaxy Note 3 kwa maana kila ninunuapo baadae nakuja kugundua sio lenyewe alafu hua yanavimba baada ya muda fulani pia yanafanya simu yangu kuzima. Asanteni na nawatakia usiku mwema ninyi nyote na familia zenu.