Msaada / Ushauri !

Msaada / Ushauri !

BabaDesi

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2007
Posts
6,224
Reaction score
4,186
Mimi ni Mstaafu.
Nilikuwa nimeishapiga mahesabu ya kuona WC bure kutokana na matangazo ya TBC hadi jamaa walipogeuza kibao ghafla!
kwa sasa hivi sina Ubavu wa kununua Decorder zao.
Binafsi, sina neno sana kukosa WC ingawa roho inauma.
Tatizo langu ni hawa last two teenage Boys wangu ambao kwao mpira ni kila kitu.
Hawawezi kwenda bar kama ambavyo hawawezi kwenda kwa majirani kutokana na principles za nyumba yetu kwamba jirani ni wa kusalimiana na kuishi naye vyema tu, basi.
Nothing more nothing Less.
Ninawatizama nyuso zao na kuona huzuni ya kukosa mechi za WC nami napata huzuni.
What do I Do??
 
Mimi ni Mstaafu.
Nilikuwa nimeishapiga mahesabu ya kuona WC bure kutokana na matangazo ya TBC hadi jamaa walipogeuza kibao ghafla!
kwa sasa hivi sina Ubavu wa kununua Decorder zao.
Binafsi, sina neno sana kukosa WC ingawa roho inauma.
Tatizo langu ni hawa last two teenage Boys wangu ambao kwao mpira ni kila kitu.
Hawawezi kwenda bar kama ambavyo hawawezi kwenda kwa majirani kutokana na principles za nyumba yetu kwamba jirani ni wa kusalimiana na kuishi naye vyema tu, basi.
Nothing more nothing Less.
Ninawatizama nyuso zao na kuona huzuni ya kukosa mechi za WC nami napata huzuni.
What do I Do??


Mzee kwa kuwa principle zako haziwaruhusu kwenda kuangalia kwa jirani basi ishi kwa principle. Unajua principle zina cost na ni vizuri sana kuishi kwa kufuata principles no matter what. Ushauri wangu usilegeze principle kwa kuwahurumia watoto. This will be a very big weakness. Kama ukishikilia msimamo wa principles zako utaacha somo kubwa sana kwa watoto na wao watajifunza kuishi kwa principles hata pale itakapoonekana inawagharimu. WC itapita tu. Vijana watakuwa wanapata simulizi mtaani. Wambie wakazanie shule, muda wa WC wawe wanapiga kitabu.
 
Mzee kwa kuwa principle zako haziwaruhusu kwenda kuangalia kwa jirani basi ishi kwa principle. Unajua principle zina cost na ni vizuri sana kuishi kwa kufuata principles no matter what. Ushauri wangu usilegeze principle kwa kuwahurumia watoto. This will be a very big weakness. Kama ukishikilia msimamo wa principles zako utaacha somo kubwa sana kwa watoto na wao watajifunza kuishi kwa principles hata pale itakapoonekana inawagharimu. WC itapita tu. Vijana watakuwa wanapata simulizi mtaani. Wambie wakazanie shule, muda wa WC wawe wanapiga kitabu.

Du umeua.
 
Mzee kwa kuwa principle zako haziwaruhusu kwenda kuangalia kwa jirani basi ishi kwa principle. Unajua principle zina cost na ni vizuri sana kuishi kwa kufuata principles no matter what. Ushauri wangu usilegeze principle kwa kuwahurumia watoto. This will be a very big weakness. Kama ukishikilia msimamo wa principles zako utaacha somo kubwa sana kwa watoto na wao watajifunza kuishi kwa principles hata pale itakapoonekana inawagharimu. WC itapita tu. Vijana watakuwa wanapata simulizi mtaani. Wambie wakazanie shule, muda wa WC wawe wanapiga kitabu.

Thanks kwa Ushauri mwema! Hili la priciple halina mjadala. Najaribu kuangalia other options.....😱hwell:

 
Back
Top Bottom