Msaada: Ushauri kuhusu ajira zisizoendana na taaluma

Msaada: Ushauri kuhusu ajira zisizoendana na taaluma

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
290
Reaction score
237
Wakuu kuna rafiki yangu amesota sana mtaani professional ni accountant akabahatika kupata kazi m power wanamlipa 630.000 kwa mwezi bila makato tatizo Linakuja hapa
  1. Kapangiwa mkoani Simiyu na yeye anaishi Dar
  2. Kazi anayoenda kufanya doesn't relate kivyovyote na accounting anaenda kufunga solar
Ushauri anaoomba ni.
Malengo yake ni kuwa katika field ya accounting ili aweze kujiendeleza na masomo kama CPA sasa uko Simiyu sidhani hata kama kuna hizo course, anaogopa asiende kupoteza muda wake bure huko. Je aendelee kukaa mtaani au aende kazini???
Ushauri wako ni muhimu sana kama una intention ya kum criticize fanya hivyo kimoyo moyo.

NAWASILISHA WAKUU
 
Wakuu kuna rafiki yangu amesota sana mtaani professional ni accountant akabahatika kupata kazi m power wanamlipa 630.000 kwa mwezi bila makato tatizo Linakuja hapa
1.kapangiwa mkoani simiu na yy anaishi dar
2.kazi anayoenda kufanya doesn't relate kivyovyote na accounting anaenda kufunga solar
Ushauri anaoomba ni.
Malengo yake ni kuwa katika field ya accounting ili aweze kujiendeleza na masomo kama CPA sasa uko simiyu cdhani hata kama kuna hizo course..anaogopa asiende kupoteza muda wake bure uko. ..je aendelee kukaa mtaani au aende kazini???
Ushauri wako ni muhimu sana kama una intention ya kumcrtcz fanya hvyo kimoyo moyo
NAWASILISHA WAKUU

CPA tayari amesha register au bado? Na kama bado muda umeshapita na je pesa ya registration anayo? Nakama hana hiyo CPA atajilipia kwa kutumia nini coz itabidi afanye next year afanye mchakato wa kupata hiyo pesa!

Nimekujibu kwa maswali mkuu ili unielewe vizuri afanye uwamuzi sahii
 
CPA tayari amesha register au bado? Na kama bado muda umeshapita na je pesa ya registration anayo? Nakama hana hiyo CPA atajilipia kwa kutumia nini coz itabidi afanye next year afanye mchakato wa kupata hiyo pesa

Nimekujibu kwa maswali mkuu ili unielewe vizuri afanye uwamuzi sahii

Bado hajaji register tatizo ni kwamba akishaenda uko mkoani atapoteza connections zote. ..kuapply kazi zingne itakua ni ndoto maana hyo company wanakutumia effectively
 
Mwambie akae tu asubiri,ninyi vijana hamna adabu kabisa unafikir Simiyu ni kijijin hvo! Mwambie asubir tu mpka apate hapo Pspf tower nyenye ghorofa 35.
 
Anaenda kupoteza.muda wakati analipwa msahara......aache uoga akapige pesa simiyu
 
Aende simiyu akafanye kazi huku aendelee kutafuta kazi ya field yake.akipata kazi ya field yake ataacha.
 
Umeshauriwa unakuwa mkali tena, yaani huyo hajielewi, kama kufikiria jambo dogo kama hilo anashindwa tumsaidie vp cc? yy ndo anajua maisha yake na malengo yake kama anapesa akaushe kama kafulia aende, sina zaidi
 
Mleta mada na rafiki yako wote hampo serious maisha.....watu wanatafuta kazi yakulipwa ata laki tatu kwa mwezi hawapati yeye analeta utani kwenye mia sita....mwambie aendelee kukaa mtaani aone joto ya jiwe.....ከሰጸነበፈደጀጰፈቨደደከቨቸሰ
 
Watoto wa dar wananichekeshaga sana,yani wakipangwa kazi huku mikoan ni fuly kujishebedua kwa kutoa visingizio vingi utadhani wamezaliwa new york,wenzenu wazungu wanatoka kwenye nchi zao wanaenda kuvolunteer huko simiyu unapopaona hapana connections.
 
Wakuu kuna rafiki yangu amesota sana mtaani professional ni accountant akabahatika kupata kazi m power wanamlipa 630.000 kwa mwezi bila makato tatizo Linakuja hapa
  1. Kapangiwa mkoani Simiyu na yeye anaishi Dar
  2. Kazi anayoenda kufanya doesn't relate kivyovyote na accounting anaenda kufunga solar
Ushauri anaoomba ni.
Malengo yake ni kuwa katika field ya accounting ili aweze kujiendeleza na masomo kama CPA sasa uko Simiyu sidhani hata kama kuna hizo course, anaogopa asiende kupoteza muda wake bure huko. Je aendelee kukaa mtaani au aende kazini???
Ushauri wako ni muhimu sana kama una intention ya kum criticize fanya hivyo kimoyo moyo.

NAWASILISHA WAKUU


Sawa mkuu, sasa sikia hii ili mshauriane vizuri na jamaa yako!
GHARAMA MPAKA KUPATA CPA KWA MWENYE SHAHADA/STASHAHADA YA JUU YA UHASIBU (INTERMIDIATE STAGE)
Usajili wa NBAA = 320,000
Mitihani 6@90,000 = 540,000
Review Class 6@150,000 = 900,000
Jumla Ndogo 1,760,000
Kwa kuwa review nyingi zafanyikia mijini, Ongeza Gharama ya Nauli toka unapoishi hadi Hapo utakapopata Review, Gharama za
i)Chakula uwapo darsa
ii)Viandika na Viandikwa
iii)Udurufishaji
iv)Dharura
Akishayaweza hayo kuna muda, mitihani hufanyika mara 2 kwa mwaka i.e MAY & NOV, hivyo endapo atafeli somo lolote atawajibika kurudia na kila somo litakalorudiwa atalilipia elfu 60,000 na ni muhali kwa mtu kufanya masomo yote sita na kuchomoa kwa mkupuo mmoja (at per). Akimaliza masomo hayo atakuwa amebakisha masomo manne kwa ajili ya FINAL STAGE ambayo nitakuja kuyasasambua siku nyigine, Nadhani hapo mtapata uwanja mpana wa Kushauriana kibusara zaidi.
 
Sawa mkuu, sasa sikia hii ili mshauriane vizuri na jamaa yako!
GHARAMA MPAKA KUPATA CPA KWA MWENYE SHAHADA/STASHAHADA YA JUU YA UHASIBU (INTERMIDIATE STAGE)
Usajili wa NBAA = 320,000
Mitihani 6@90,000 = 540,000
Review Class 6@150,000 = 900,000
Jumla Ndogo 1,760,000
Kwa kuwa review nyingi zafanyikia mijini, Ongeza Gharama ya Nauli toka unapoishi hadi Hapo utakapopata Review, Gharama za
i)Chakula uwapo darsa
ii)Viandika na Viandikwa
iii)Udurufishaji
iv)Dharura
Akishayaweza hayo kuna muda, mitihani hufanyika mara 2 kwa mwaka i.e MAY & NOV, hivyo endapo atafeli somo lolote atawajibika kurudia na kila somo litakalorudiwa atalilipia elfu 60,000 na ni muhali kwa mtu kufanya masomo yote sita na kuchomoa kwa mkupuo mmoja (at per). Akimaliza masomo hayo atakuwa amebakisha masomo manne kwa ajili ya FINAL STAGE ambayo nitakuja kuyasasambua siku nyigine, Nadhani hapo mtapata uwanja mpana wa Kushauriana kibusara zaidi.

Shukrani mkuu
 
Huyo jamaa asiwe ---- aisee, huko simiyu si ataenda na laptop yake na modem yake?, sidhani kama atapoteza kitu labda kama yeye hua anaomba kazi kwa kutumia barua manually na sio email, pia hawezi poteza kitu maana anatakiwa awe na cv tayari na applications zake, pia nadhani watakua wanakata nssf kama anatoka huko ataweza kuanzia sehemu fulani hawezi poteza chochote, binafsi nimesoma chekechea mpaka chuo kikuu dar, kazi yangu ya kwanza nilipata kasulu,kigoma hahahaha ni chaka hatari mpaka majani yanageuka rangi ya vumbi, ukitembea hatua 20 vumbi mpaka kwenye magoti baada ya kuona enough is enough nili quit sasa hivi nafanya personal ventures,,,,...
 
MWAMBIE KUNA WATU wa degree Na wanatafuta KAZI yenye japo mshahara wa laki 2 popote nchini.
 
Wakuu kuna rafiki yangu amesota sana mtaani professional ni accountant akabahatika kupata kazi m power wanamlipa 630.000 kwa mwezi bila makato tatizo Linakuja hapa
  1. Kapangiwa mkoani Simiyu na yeye anaishi Dar
  2. Kazi anayoenda kufanya doesn't relate kivyovyote na accounting anaenda kufunga solar
Ushauri anaoomba ni.
Malengo yake ni kuwa katika field ya accounting ili aweze kujiendeleza na masomo kama CPA sasa uko Simiyu sidhani hata kama kuna hizo course, anaogopa asiende kupoteza muda wake bure huko. Je aendelee kukaa mtaani au aende kazini???
Ushauri wako ni muhimu sana kama una intention ya kum criticize fanya hivyo kimoyo moyo.

NAWASILISHA WAKUU
100% ni wewe umepata kazi mpower, kwa nini unaona aibu kufunguka, hapa jamvini tunakujua kwamba mida flani ulikuwa ukisoma accounts chuo flani, hata avatar ako inaonesha wazi
 
Mkuu naomba nikushilikishe hili..namimi nilikua na tatizo kama la jamaa yako japo fild yangu mimi ni Banking and Finance nilitamani sana kufanya mitihani ya CPB pale TIOB kama professional yangu mara nikapata hiyo kaz na nikapangiwa Mara lakn sababu ckua na hela ilibid niende tu..na mshahara nilianza na 410.000/= ukitoa makato, nimefunga sana solar juu ya bati..huku nikitumia chrome yangu na wireless ya ofisini kufanya application huku nikitumia m power kama reference..na experience baada ya miezi6 nikabaatisha chance stanbic bank amabapo nipo had sasa na mitihan yangu mingine namalizia november...nadhani utakua umepata cha kujifunza hapa
 
mwambie haache kazi akakae kijiweni asubiri maisha bora kwa kila mtanzania tokavkwa serikali
 
Back
Top Bottom