HOYANGA
Senior Member
- Jun 9, 2011
- 187
- 28
Ndugu wanajamii, kuna jamaa yangu ana mpango wa kufanya safari mwezi Disemba kwenda U.S.A kumtembelea rafiki yake. Katika kuomba kibali ametakiwa kwenda kufanya Usaili ubalozini kwao sasa hafahamu ni kitu gani kinaulizwa! Tafadhali mwenye kujua hili naomba msaada ili ajue nini cha kuanzia kujiandaa!