Msaada: Usaili Ubalozi wa Marekani!

Msaada: Usaili Ubalozi wa Marekani!

Askudanganye mtu!
Halafu huko mnataka kwenda kufanya nini!?
Mi nimeona vijana waliondoka waungwana!
Wanerudi na vihereni maskioni na vidole juu!
Sijui waliwapa chakula gani huko wakalegea kiasi hicho!
Manake hayo mataifa teule balaa!
Uliberali mpaka kwenye nyumba ya bwana!

Mkuu naona kaudini kana nukia nukia.
 
Dr. kahtaan tunamiss taaluma yako mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Jibu swali na kumbuka ulijibu nini kipindi cha nyuma anaweza kuuliza swali hilo mara mbili au zaidi yaani mwanzo wa mahojiano na katikati kama vile amesahau. Jitahidi kuwa fluent katika lugha ya mahojiano kama huwezi omba uwe na mkalimani. Muda utakaokaa kule, Je, wewe unafanya kazi gani hivi sasa, wakati haupo utakuwa kwenye likizo au vipi? Kumbuka likizo za Tanzania ni za miezi wakati huku Alaska likizo inaweza kuwa wiki moja, siku moja wiki mbili nk. ni adimu kupata likizo ya mwezi mzima, yaani unachukua wiki moja mwezi huu then baada ya miezi mitatu unachukua wiki mbili nk. Wengi wananyimwa viza kwa kuchukua likizo zao kwa mkupuo ati mwezi mzima, wanakuwa na mashaka.[/B][/SIZE][/COLOR][/I]
Mkalimani unaenda naye au yupo hapo hapo ubalozini na kuna fee inayotozwa iwapo huyo mkalimani ni wa hapo ubalozini.
 
Hapo hakuna visa ndugu yangu. We unasema rafiki? Mie uncle wangu kabisa ninekwama. Nimepeleka hati ya nyumba leseni ya biashara cheti cha ndoa vyeti vya kuzaliwa watoto wawili mkataba mnono wa kazi bank statement iliyonoga na clearance ya polisi. Wakasema simply 'anko wako kakaa US miaka 6 sasa ni bora yeye aje kutembelea ndugu zake na sio weww kwebda huko' jamaa fedhuli kisha akaita mutu ingine...mie nikapewa kapaspoti kangu.

Huwa napenda sana kusoma hii coment yako hasa hapo "... jamaa fedhuli..."
 
Hapo hakuna visa ndugu yangu. We unasema rafiki? Mie uncle wangu kabisa ninekwama. Nimepeleka hati ya nyumba leseni ya biashara cheti cha ndoa vyeti vya kuzaliwa watoto wawili mkataba mnono wa kazi bank statement iliyonoga na clearance ya polisi. Wakasema simply 'anko wako kakaa US miaka 6 sasa ni bora yeye aje kutembelea ndugu zake na sio weww kwebda huko' jamaa fedhuli kisha akaita mutu ingine...mie nikapewa kapaspoti kangu.
Umekwama kwa kuwa umekiri una ndugu tuko Usa isivyo. Ungekana kumjua ujibu unaenda kivyako. Kuna watoto walinyimwa visa baada kuonyeshwa picha ya baba yao na kushangilia yes our dad, our uncle. Wakasema wamegundua watoto wanapelekwa kuwajoin wazazi waliozamia Usa. Sir name nazo huwanyima watu visa wakigundua uko Na uhusiano na mzamiaji mnaofanana majina ya mwisho.
 
UKIENDA KUOMBA VISA YA USA WAKATI MWINGINE WANAANGALIA HATA PERSONARTY YAKO,SURA NK,KM UKITAKA WAKUPE HARAKA NENDA UKIWA UMENYOA NYWELE ZAKO VZR,USO UUFANYIE SCRABING ,ANGARAU UFANANE FANANE NA MUONEKANO WA WALIOKO USA,KWENYE KUJIBU MASWALI UJIBU KWA MAPOZI TENA SERIOUS,. MWISHO KABISA KUMBUKA UDA WANA AREJI YA NDEVU
.
 
Ni rahisi kwenda mbinguni kuliko USA, ningekuwa nauwezo tungesusa kwenda kwao ili wakose wakuwabebea Box
 
Kwani ni lazima kwenda huko Marekani? Mimi huwa nikipita nje ya balozi na kuwakuta watanzania wamepigwa foleni na wamejikunyata kisawasawa huwa ninahuzunika sana? Ni muhimu sana kwenda huko kwao??? Huu ni utumwa na ukoloni mamboleo, tutengeneze kwetu hapa bongo pawe pazuri na pavutie!
Hata tukipaweka vzr bongo hakuna 50cent,rihana,Celine,jay z,.Lazima twende tu haina namna
 
Back
Top Bottom