Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,735
- 46,262
Sio fujo mkuu! Hembu piga picha umekwenda ubalozi wa Marekani kuomba Visa umefuga ndevu dizaini ya kina Osama halafu umevalia lile vazi jeupe juu umepiga kilemba chini umepiga Kobasi!
Acha kujidanganya wewe kinachotakiwa ukamilishe makaratasi, nenda basi umevaa msalaba halafu hauna bank statement huone kama utapata viza.