mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 802
jamani kuhusu lugha ni vipi
Ndugu wanajamii, kuna jamaa yangu ana mpango wa kufanya safari mwezi Disemba kwenda U.S.A kumtembelea rafiki yake. Katika kuomba kibali ametakiwa kwenda kufanya Usaili ubalozini kwao sasa hafahamu ni kitu gani kinaulizwa! Tafadhali mwenye kujua hili naomba msaada ili ajue nini cha kuanzia kujiandaa!
Hapo hakuna visa ndugu yangu. We unasema rafiki? Mie uncle wangu kabisa ninekwama. Nimepeleka hati ya nyumba leseni ya biashara cheti cha ndoa vyeti vya kuzaliwa watoto wawili mkataba mnono wa kazi bank statement iliyonoga na clearance ya polisi. Wakasema simply 'anko wako kakaa US miaka 6 sasa ni bora yeye aje kutembelea ndugu zake na sio weww kwebda huko' jamaa fedhuli kisha akaita mutu ingine...mie nikapewa kapaspoti kangu.
hawa jamaa wanabana ile mbaya kwenda kwao
hivi kweli kwenye ubalozi wetu huko usa kunakufanyiwa usaili kwa wamarekani wanaotaka kuja bongo? au ndiyo tunakwenda kuwa tangazia waje bongo
Hapo hakuna visa ndugu yangu. We unasema rafiki? Mie uncle wangu kabisa ninekwama. Nimepeleka hati ya nyumba leseni ya biashara cheti cha ndoa vyeti vya kuzaliwa watoto wawili mkataba mnono wa kazi bank statement iliyonoga na clearance ya polisi. Wakasema simply 'anko wako kakaa US miaka 6 sasa ni bora yeye aje kutembelea ndugu zake na sio weww kwebda huko' jamaa fedhuli kisha akaita mutu ingine...mie nikapewa kapaspoti kangu.
Hawasumbuliwi kabisa wala hawaombi visa wakifika mpakani kama holili au namanga wanagogewa tu mhuri wanaingia TZ vilevile airport
Maswali yatalenda hapa - anakwenda kufanya nini? Atakaa muda gani? Nani anagharamia safari yake? Ushahidi kuwa atarudi. Ajiandae kuonyesha document za kusupport majibu yake - Mfano proof kuwa utarudi (ties to Tanzania) barua ya kazi, properties na familia. Nani atagharamia safari - bank statement (at least three months) kuonyesha unayo pesa, pia mwenyeji wake US akileta barua kuonyesha atakaa wapi akiwa US itasaidia otherwise kama utakaa hoteli bank statement itabidi ionyeshe pesa ya kutosha na arrangement za hoteli. Interview zinatofautiana kutegemea na mtu utakayekuiterview na wewe mwenyewe. Anaweza asiulize kuona document yoyote na ukapewa visa au ukanyimwa.
Intiiiooo IniBiiii
Acha kujidanganya wewe kinachotakiwa ukamilishe makaratasi, nenda basi umevaa msalaba halafu hauna bank statement huone kama utapata viza.
hivi kweli kwenye ubalozi wetu huko usa kunakufanyiwa usaili kwa wamarekani wanaotaka kuja bongo? au ndiyo tunakwenda kuwa tangazia waje bongo
Somalia nenda tu interview kukwepa na kurusha gruned kama ukiwa fit karijbu somal land
Somalia nenda tu interview kukwepa na kurusha gruned kama ukiwa fit karijbu somal land
Ukitapata mwaliko kutoka US na huyo mtu akaji Commit kugharamia safari yako hapo ni lazima upate visa.
Askudanganye mtu!
Halafu huko mnataka kwenda kufanya nini!?
Mi nimeona vijana waliondoka waungwana!
Wanerudi na vihereni maskioni na vidole juu!
Sijui waliwapa chakula gani huko wakalegea kiasi hicho!
Manake hayo mataifa teule balaa!
Uliberali mpaka kwenye nyumba ya bwana!