jamani naomba mwenye wimbo wa sara wacha majivuno uliopigwa na Urafiki jazz band aweke, nitashukuru
Wasiliana na mohamed chalcho anaerusha kipindi cha zilizopendwa Radio one stereo kila jumapili saa 5 kwa maana amalizapo kipindi hutaja namba zake za simu so uwe na kalamu stby na kwa faida zaidi yeye binafsi alikuaga mwanamuziki wa urafiki jazz mtapanga stakupa nyimbo hata zaidi ya hiyo
Huyo alikuwa Ngulimba wa Ngulimba ila mtafute Rajab Zomboko au Kitime watakupatiajamani naomba mwenye wimbo wa sara wacha majivuno uliopigwa na Urafiki jazz band aweke, nitashukuru